poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
Habari wanaJF,
Kwa muda mrefu nimetamani kununua bidhaa mbalimbali toka nje ya nchi na hasa kupitia njia ya mtandao.najua ipo mitandao mingi inauza bidhaa mbalimbali,lakini nimeingia woga baada ya kusikia wapo matapeli wanaowaibia watu kupitia njia hii ya mtandao.Sasa wakuu naomba mnielekeze kupitia uzoefu au ufahamu wenu kunijuza mitandao inayouza bidhaa mbalimbali tena ni waaminifu na si matapeli. Kama ikiwekana na njia inayotuka kuwatumia pesa pamajo na kupokea mzigo. Natumai wana jamvi mtanisaidia.
Kwa muda mrefu nimetamani kununua bidhaa mbalimbali toka nje ya nchi na hasa kupitia njia ya mtandao.najua ipo mitandao mingi inauza bidhaa mbalimbali,lakini nimeingia woga baada ya kusikia wapo matapeli wanaowaibia watu kupitia njia hii ya mtandao.Sasa wakuu naomba mnielekeze kupitia uzoefu au ufahamu wenu kunijuza mitandao inayouza bidhaa mbalimbali tena ni waaminifu na si matapeli. Kama ikiwekana na njia inayotuka kuwatumia pesa pamajo na kupokea mzigo. Natumai wana jamvi mtanisaidia.