chuma jr
Member
- Oct 17, 2015
- 84
- 133
Habari wakuu nasogeza hoja mbele yenu nahitaji msaada na muongozo nina goli langu la uwakala sasa nataka nijiongeze sababu ofisi imepwaya na uzuri namshukuru Mungu uwakala umeitika vya kutosha.
Sasa nataka nijiongeze kwenye kuuza movie zisizotafsiriwa na zilizotafsiriwa sababu najua wanaopenda movie zisizotafsiriwa bado wapo wakutosha sasa zilizotafsiriwa najua nikiibuka pande za aggrey K/koo napata issue kubwa ni hizi zisizotafsiriwa nazipataje ile on time na bei yake huwa ipoje naomba muongozo wakuu nawasilisha hoja.
Sasa nataka nijiongeze kwenye kuuza movie zisizotafsiriwa na zilizotafsiriwa sababu najua wanaopenda movie zisizotafsiriwa bado wapo wakutosha sasa zilizotafsiriwa najua nikiibuka pande za aggrey K/koo napata issue kubwa ni hizi zisizotafsiriwa nazipataje ile on time na bei yake huwa ipoje naomba muongozo wakuu nawasilisha hoja.