Tutagawana faida kwa 20% kwa 80%Mimi Nna ekari 50 rufiji,ikwiriri panafaa kwa kilimo cha mihogo...Kama kuna mtu ana plan,Idea nzuri ya kilimo cha mihogo aje pm tuyajenge....mimi nko tayari kutoa ardhi kwa makubaliano tukatayo kubaliana
Ova
Tutagawana faida kwa 20% kwa 80%Mimi Nna ekari 50 rufiji,ikwiriri panafaa kwa kilimo cha mihogo...Kama kuna mtu ana plan,Idea nzuri ya kilimo cha mihogo aje pm tuyajenge....mimi nko tayari kutoa ardhi kwa makubaliano tukatayo kubaliana
Ova
Nitakutafuta MwenyekitiMimi Nna ekari 50 rufiji,ikwiriri panafaa kwa kilimo cha mihogo...Kama kuna mtu ana plan,Idea nzuri ya kilimo cha mihogo aje pm tuyajenge....mimi nko tayari kutoa ardhi kwa makubaliano tukatayo kubaliana
Ova
Doooh!Wana bei ya kifala yaan tan moja $180cif
Wewe kweli ni Great Thinker, kuna Watu wanapuuza hili. Kuna ujanja ujanja mwingi hapa!KILO 1 KWA 300 NI UJINGA.
WACHINA JANJA SANA UNAJUA MIHOGO MIKAVU INAKUWA NA UZITO KIDOGO SANA KAMA PAMBA KWA HIYO KILO 1 IMAGINE UNAWEZA KUJAZA HATA NDOO YA LITA 20,SASA ILI UPATE ANGALAU 30,000 UWE NA NDOO 100; KWA NINI WASINUNUE UNGA WA MHOGO.
Peleka Mkuu, angakau na wewe upande ndegewana nunuaje kwa kilo... tuna wapelekea huko uchina au wanakuja kufata tanzania wenyewe...
ata ota mabawa...Peleka Mkuu, angakau na wewe upande ndege