Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Niko porini huku, mkulima mmoja anataka kuniuzia mbao 300 ,sasa kuna mambo siyajuwi!!
Leseni naipata wapi kusafirisha hadi soko la Dar na Zanzibar!!!
Gharama zake sh. ngapi kupata!"??
jamani nisaidieniiiiiiiii
PJN
MZEE WA NCHOLI VILLAGE, MTWARA
Leseni naipata wapi kusafirisha hadi soko la Dar na Zanzibar!!!
Gharama zake sh. ngapi kupata!"??
jamani nisaidieniiiiiiiii
PJN
MZEE WA NCHOLI VILLAGE, MTWARA