Salaam alaikum wajumbe.
Jamani nilikuwa na wazo la kuanzisha kilimo Cha matunda hasa miembe ya kisasa na sababu zilizopelekea ni pamoja na kwambaa baada ya miti hii kukua ni rahisi sana kuiangalia sababu haihitaji uangalizi mkubwa hasa ikianza kustawi na kuzaa.
Sababu nyinginezo ni kwambaa nitakuwa more free kuendelea na shughuli nyinginezo pembeni na kilimo hiki Cha matunda hasa kipindi ambacho si Cha mavuno.
Naombeni MSAADA hasa kwa wenye uzoefu wa kilimo Cha matunda hasa miembe juu ya gharama na Miche Bora na pia faida .
Eneo nililotenga ni ekari 10 kwa ajili ya wazo Hilo . MSAADA WENU TAFADHALI
Jamani nilikuwa na wazo la kuanzisha kilimo Cha matunda hasa miembe ya kisasa na sababu zilizopelekea ni pamoja na kwambaa baada ya miti hii kukua ni rahisi sana kuiangalia sababu haihitaji uangalizi mkubwa hasa ikianza kustawi na kuzaa.
Sababu nyinginezo ni kwambaa nitakuwa more free kuendelea na shughuli nyinginezo pembeni na kilimo hiki Cha matunda hasa kipindi ambacho si Cha mavuno.
Naombeni MSAADA hasa kwa wenye uzoefu wa kilimo Cha matunda hasa miembe juu ya gharama na Miche Bora na pia faida .
Eneo nililotenga ni ekari 10 kwa ajili ya wazo Hilo . MSAADA WENU TAFADHALI