Wana JF kwanza nawasalimuni kwa heshima kubwa sana. Nimekuwa nikisoma maoni ya wachangiaji tofauti na nimegundua JF ni Online University there are real great thinkers (i admit that). Anyway......
Naomba wanajamii mnishauri kama Biashara ya kutoa nafaka hasa MAHINDI toka mikoani kuleta Dar kama inalipa.
Naomba wanajamii mnishauri kama Biashara ya kutoa nafaka hasa MAHINDI toka mikoani kuleta Dar kama inalipa.