Wazo lako sio baya. Ila hii biashara ya vifaa vya umeme imeshikiliwa na baadhi ya wafanyabiashara wakubwa hapa nchini kwa mfano Tronic,Tropical na wengineo. Kwa mtu Kama wewe unayetaka kuanza hii biashara,sikushauri uanze moja kwa moja na biashara hii. Kwa sababu hao jamaa wenye hayo makampuni wana watu wao TBS na TRA, mzigo wako unaweza kupigwa zengwe na ukachomwa moto kwa kusingiziwa ni bidhaa feki. Wafanyabiashara wakubwa wanacheza rafu sana.Natamani kufanya biashara ya kwenda china na kuleta vifaa vya umeme na kuuza. Naomba ushauri inahitajika mtaji wa kiasi gani kwa kuanzia.
Tunaelimishana tu mkuu. Nafikiri umeshasikia sana na kuona kwenye luninga TBS wakichoma moto bidhaa feki. Mara nyingi zile bidhaa unakuta ameleta mfanyabiashara mdogo kwa hela ya mkopo au kudunduliza. Kuna rafu mbaya sana katika baadhi ya biashara hapa mjini. Au kwa mfano ukiagiza Kontena la spare parts unafikiri kwa nini huwa Wapemba wanakufuata hata hujatoa mzigo na kutaka kununua Mali yote!?Duh Borat69 umenipa changamoto.
Tuwasiliane, kuna Supplier wa Kichina anakampuni yake hapa East africa na inafanya hiyo kazi ya vifaa vya umeme, nadhani itakuraishia kabla ya kuanza kwenda ChinaaNatamani kufanya biashara ya kwenda china na kuleta vifaa vya umeme na kuuza. Naomba ushauri inahitajika mtaji wa kiasi gani kwa kuanzia.
Jamani kweli Jamii forums mtandao mzuri sana cha ushauri kwa wanachama kwa wanchama wanasaidiana kupeana ushauri na wengine tunapata faida ya kuelewa
Tatizo hawa jamaa hawafunguki indeep.majibu mkato,mtu ambae hata hajawahi kwenda huko na anataka kujua pa kuanzia atatoka kapa tu hapa.
Natamani kufanya biashara ya kwenda china na kuleta vifaa vya umeme na kuuza. Naomba ushauri inahitajika mtaji wa kiasi gani kwa kuanzia.
Wewe unataka mtu afunguke kivipi zaidi ya hayo maelezo watu waliochangia humu. Au unataka uelezwe mpaka guest au lodge mtu aliyekuwa jana usiku na jina la mwanamke ndio uridhike!?Tatizo hawa jamaa hawafunguki indeep.majibu mkato,mtu ambae hata hajawahi kwenda huko na anataka kujua pa kuanzia atatoka kapa tu hapa.
Nimeipenda hii.Wewe unataka mtu afunguke kivipi zaidi ya hayo maelezo watu waliochangia humu. Au unataka uelezwe mpaka guest au lodge mtu aliyekuwa jana usiku na jina la mwanamke ndio uridhike!?
Kama una Swali uliza specific na utajibiwa accordingly. Kuna watu wengine hatupendi kujaza nafasi kwa bandiko refuuu Kama magazeti ya shigongo. Wewe uliza unachotaka kujua,nina uhakika utapata jibu sio kuja na milawama tu..wabongo sisi,kazi kweli kweli:frusty:
Tunaelimishana tu mkuu. Nafikiri umeshasikia sana na kuona kwenye luninga TBS wakichoma moto bidhaa feki. Mara nyingi zile bidhaa unakuta ameleta mfanyabiashara mdogo kwa hela ya mkopo au kudunduliza. Kuna rafu mbaya sana katika baadhi ya biashara hapa mjini. Au kwa mfano ukiagiza Kontena la spare parts unafikiri kwa nini huwa Wapemba wanakufuata hata hujatoa mzigo na kutaka kununua Mali yote!?
Mimi ningekushauri uende Bangkok vitu vya Thailand vina ubora zaidi ya vya China hasa kwa vitu ambavyo watu wa mtaji mdogo huweza kununua,na hata ukileta hapa kwa mfano nguo za Thailand utauza kuliko yule mwenye nguo za UchinaChangamoto nyingine utakayoipata ni kuwa mentality ya watanzania wengi wanasema kuwa vifaa vya umeme kutoka china ni vibovu wa proove wrong kwa kuwaletea vifaa ambavyo ni durable na kwa umeme wetu huu ..... Sijui... Kila la kheri mkuu
Hii nimeipenda sana mkuu. Hebu iongezee nyama kidogo basi ili twende sawa!unahitaji kuwa agent au authorized dealer/distributor wa bidhaa fulani, ili ukamate soko hapa tanzania. na si lazima uende china, unaweza kwenda south korea, india, russia, turkey, brazil. hukokuna bidhaa nyingi tu ambazo hazina ma-agent hapa nchini.
Changia basi japo kidogo!!Jamani kweli Jamii forums mtandao mzuri sana cha ushauri kwa wanachama kwa wanchama wanasaidiana kupeana ushauri na wengine tunapata faida ya kuelewa