Biashara ya kuuza watu imewapa wengi utajiri

The Eric

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
5,059
8,188
Hello,

Hii biashara imeanza tangu zamani sana, ndiyo imefahamika kama Slave trade.

Kuna kitabu kaandika Robert Kiyosaki anasema katika maelezo yake "The High Paid Slave is Still A Slave."

Kuuza watu kwa namna moja au nyingine ni aina ya utumwa, au kumuuza mtu kwa yeye kutaka kipato na wewe unufaike. Mifano halisi kwa leo ipo indirectly au in a neo-colonialism way. Shida zinafanya Waafrika tuwe wapumbavu sana na kutupelekea kuwa na janga la umasikini, maradhi na ujinga.

Yaani nowdays hakuna tofauti ya literate person na illiterate person, unaweza ambiwa mtu kaenda shule na usiamini kutokana na matendo yake kuwa kama layman.

Nisiandike sana wakuu najua wabongo wengi tuna uvivu wa kusoma vitu kwenye maandishi.

Mifano halisi ya utumwa hii hapa, kama hujui ndiyo ujue na utafakari:

1. Kulipwa kipato cha hand to mouth e.g 5000Tsh. A day (e.g kama unaweza save na ukawa na akiba sawa). Watu watasema vijana mnachagua kazi ila nowdays na Tsh. 5000 how can you save? Hapa boss kapata zaidi na wewe kakuuza kwa kazi zake na muda wako.

2. Kazi za kufanyishwa muda mrefu au masaa mengi ni utumwa na umeuzwa na boss yeye lazima atajirike.

3. Utumwa mwingine ni hawa vijana mabeki tatu na houseboy wanakuwadiwa na madalali kwa wazazi wao, madalali wanapiga pesa. Wanawatupa mijini kwa majumba ya watu, na ushamba wao wanatumikishwa hadi kufikia sex harassment, level of their education is poor, tuwaonee huruma.

4. Sex workers as usual, yapo madanguro watu wanapiga cool cash mzee. Yaani watoto wanauzwa kwa wanaume wao wanalipwa hewa, yaani daah hali hii ni utumwa.

Mi nashangaa kijana graduate kukimbilia kuajiriwa badala ya kujiajiri, by the way natoa huduma free ya ushauri kwa graduate ambaye bado kashindwa kujiajiri.

Wengi wanaouza watu ni matajiri na hawa matajiri hawatakuambia kama wewe ni mtumwa na unawapa pesa.

Hakuna tajiri atasema hili.
 
Wewe naye ki.laza tu! Hauko analytical!
Hata hicho kitabu ulicho- quote title kutoka kwa Robert Kiyosaki ni upupu tu ! Kitabu cha Robert Kiyosaki title haiwezi kuwa broken English hiyo!
 
Hivi kwa nini wapo watu wanajikuta wajuaji sana, yaani wana very big IQ, yaani kiufupi they are stupid kwa kujiona wanajua.

Being broken kwenye swala la lugha sioni tatizo sababu no one is perfect on language, even swahili tunakosea sana kuzungumza na kuandika....
Fumadilu Kalimanzila you're such a stupid idiot... don't be jeoulous on me. Broh andika lugha kwa ufasaha tuone accurancy yako kuwa hukosei.

Do you know the meaning of analytical when it comes to literature(work of art) au unaropoka tu.
Siku nyingine usitusi watu bila kutoa hoja za msingi.... watu kama nyie mnakera.
 
Kabisa mkuu Slave trade bado ipo bila serikali kuyapangia aya makampuni viwango vyakulipa kwa elimu ya mtu hali haitokuja kuisha
 
Duuuuh mbona mm napata aftatu per day na bado nina savings... though kazi ni yangu sijaajiliwa....
 
Huyu bwana Kiyosaki alisha maliza kila kitu.
Ukisoma kwa ufasaha vitabu vyake unaweza jihisi umechelewa katika maisha,na hata kazi unaweza acha na usifanye tena.
 
Hello,

Hii biashara imeanza tangu zamani sana, ndiyo imefahamika kama Slave trade.

Kuna kitabu kaandika Robert Kiyosaki anasema katika maelezo yake "The High Paid Slave is Still A Slave."

Kuuza watu kwa namna moja au nyingine ni aina ya utumwa, au kumuuza mtu kwa yeye kutaka kipato na wewe unufaike. Mifano halisi kwa leo ipo indirectly au in a neo-colonialism way. Shida zinafanya Waafrika tuwe wapumbavu sana na kutupelekea kuwa na janga la umasikini, maradhi na ujinga.

Yaani nowdays hakuna tofauti ya literate person na illiterate person, unaweza ambiwa mtu kaenda shule na usiamini kutokana na matendo yake kuwa kama layman.

Nisiandike sana wakuu najua wabongo wengi tuna uvivu wa kusoma vitu kwenye maandishi.

Mifano halisi ya utumwa hii hapa, kama hujui ndiyo ujue na utafakari:

1. Kulipwa kipato cha hand to mouth e.g 5000Tsh. A day (e.g kama unaweza save na ukawa na akiba sawa). Watu watasema vijana mnachagua kazi ila nowdays na Tsh. 5000 how can you save? Hapa boss kapata zaidi na wewe kakuuza kwa kazi zake na muda wako.

2. Kazi za kufanyishwa muda mrefu au masaa mengi ni utumwa na umeuzwa na boss yeye lazima atajirike.

3. Utumwa mwingine ni hawa vijana mabeki tatu na houseboy wanakuwadiwa na madalali kwa wazazi wao, madalali wanapiga pesa. Wanawatupa mijini kwa majumba ya watu, na ushamba wao wanatumikishwa hadi kufikia sex harassment, level of their education is poor, tuwaonee huruma.

4. Sex workers as usual, yapo madanguro watu wanapiga cool cash mzee. Yaani watoto wanauzwa kwa wanaume wao wanalipwa hewa, yaani daah hali hii ni utumwa.

Mi nashangaa kijana graduate kukimbilia kuajiriwa badala ya kujiajiri, by the way natoa huduma free ya ushauri kwa graduate ambaye bado kashindwa kujiajiri.

Wengi wanaouza watu ni matajiri na hawa matajiri hawatakuambia kama wewe ni mtumwa na unawapa pesa.

Hakuna tajiri atasema hili.

pamoja na kua mshauri kuna vitu unatakiwa uvijue

-“Si kila mtu anaweza akajiajiri”
 
Kabisa mkuu Slave trade bado ipo bila serikali kuyapangia aya makampuni viwango vyakulipa kwa elimu ya mtu hali haitokuja kuisha
Hii kitu lazima kampuni ziangaliwe mkuu, unalipwa Tsh.5000 kazi ni ngumu, na muda wa kazi ni mrefu, unasimamiwa na mitusi juu wala hakuna kupumzika na upo nchini kwako aliyekupa kazi ni mgeni.

Huko viwandani kuna mambo mengi sana.
 
Huyu bwana Kiyosaki alisha maliza kila kitu.
Ukisoma kwa ufasaha vitabu vyake unaweza jihisi umechelewa katika maisha,na hata kazi unaweza acha na usifanye tena.
Alishamaliza kaka, hii kitu inaitwa elimu ukiipata ni full na big respect..
Salute kubwa kwa aliyegundua elimu.
 
Back
Top Bottom