Hakuna haja ya kuboresha umalaya, umalaya ni weakness na anguko la mtu yeyote, huyo Malaya hawezi kuwa mtu yeyote wa thamani mbele ya safari yake ya maisha, imagine Malaya anaweza kuwa raisi kweli? Vitu vilivyoshushwa hadhi na Mungu vijibebe venyewe vitavyojua kujithamisha na sauti za waovu zinaishia shimoni, sisi tunapaswa kuwaonya wajisalimishe mapema kwa kubadilika ili wawe na thamani, kikubwa kama wanajipanga kwenye jamii basi serikali iwafukuze wapeleke uhayawani wao huko club na kwenye mabaa ambako tangu miaka kulishashushwa thamani, hivi nani anataka kuoa Malaya na akawa na ujasiri wa kuishi naye? Na kusimama mbele za watu kwamba mke wangu kazi yake ni Malaya?Biashara hii imelea na kusomesha wengi tu, kinachotakiwa ni kupendekeza mazingira yatakaofanya biashara hii isilete matokeo hasi kwa watoto, kuwatengea pink area within town na kutoa elimu ya kujikinga na STIs, na wapewe pia panic buttons zilizounganishwa na vituo vya police kwa ulinzi wao, huwezi to kuifuta biashara hii hapa duniani kwa nguvu, biashara hii tumeikuta, tutaiacha inaendelea, mtoa hoja relax mkuu na njoo na the way forward kuiboresha kisheria