Yap mkuu biashara ya genge inalipa endapo utakuwa makini kuwasoma na kuwaelewa watu unaowalisha, jitahidi sana uwe unauwezo Wa kuuza mzigo Kwa haraka na kuchukua mwengine Kwa kuto kuangalia faida kubwa, yaani ni bora faida iwe ya kawaida lkn mzigo kila Siku au mbili hadi tatu ili uwe unamzigo mpya kwenye kuvutia wateja
Yeah niliwaza hiyo kitu but nilijua vile kitakua modern genge wanaweza shawishika but Kwelii ni kaz kuwavutia wale ushua mwing manunuz ni weekend tena in full package. Niwaze tu eneo lingine
Yeah niliwaza hiyo kitu but nilijua vile kitakua modern genge wanaweza shawishika but Kwelii ni kaz kuwavutia wale ushua mwing manunuz ni weekend tena in full package. Niwaze tu eneo lingine
Mkuu usikate tamaa fanya utafiti kwanza ujue nini wateja wanakitaka na weakness za magenge yaliyopo.Niliwahi kuishi ushuani (Mikocheni) kuna wapemba walikuwa na genge walikuwa wanaingiza sana hela
Biashara ya genge ni nzuri sna,wengi wanatoboa kimaisha kupitia biashara ya genge ,me nakushauri tafuta eneo ambalo lina watu wengi ,we mwenyewe utakuja kutoa ushuhuda mkuu,pia usiwe na tamaa ya kupata faida haraka.
Bila kupoteza muda niende kwenye mada husika, naomba member yoyote mwenye ufahamu na biashara ya mazao (genge)anipe uzoefu wake wa biashara hii, faida zake na hasara zake. Mtaji wangu ni laki tano tu.