Biashara ya kusambaza bidhaa

Biashara ya kusambaza bidhaa

demarine

Member
Joined
Dec 6, 2020
Posts
18
Reaction score
29
Wakuu nilikuwa naomba kufahamishwa michongo ya kusambaza bidhaa mikoani au kutoka mikoani kuingia dar. Kwa anayefahamu ni mishe ipi iko poa au kama una connection yoyote eiza kuchukua vyakura kama mbogamboga, masamaki, au chochote yani kifupi biashara ambayo aikai unachukua unapeleka mzigo sehemu unapata cash yako unafata mwengine.

Mnifahamishe natoa wapi iyo mizigo soko na faida + hasara

Maelezo yangu ayako poa sana ila nazan kwa kiasi mtakuwa mmenielewa wakuu. Ila mtaji usizid 1.5M
 
Mchongo ninao shauri ni wa kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar kariakoo.

Huu mchongo ni wa faida ya kuanzia 50% hadi 100% na kuendelea.

Dukani kwetu Tunauza bidhaa hizo kwa Jumla Kwa kuanzia Nusu Dozen.

Na tuna saidia kutuma mzigo wako Popote Tanzania.

Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi kwa whatsapp/simu #0743207176

JPEG_20210328_102519_-1522139209.jpg
JPEG_20210328_102719_-568663705.jpg
 
Back
Top Bottom