Sukari Yenu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 1,698
- 1,253
Hii biashara ni nzuri ila ningependa kujua gharama za kumnenepesha huyo ng'ombe kwa miezi hiyo ni kiasi gani?
1.Alizeti na mtama (Dodoma)Hii ni story ndefu na ya kitaalamu. Ila, kwa kifupi, na ili kukusaidia nijibie maswali haya,kabla sijaendelea na story
1. Hapo ulipo, kuna mazao gani yanalimwa kwa wingi?
2. Kuna viwanda vinavyosindika mazao hayo? Na ni mazao yapi husindikwa
3. Kama hakuna viwanda, kuna maduka ya vyakula na dawa za mifugo karibu na unakofanyia ufugaji?
1.Alizeti na mtama (Dodoma)Hii ni story ndefu na ya kitaalamu. Ila, kwa kifupi, na ili kukusaidia nijibie maswali haya,kabla sijaendelea na story
1. Hapo ulipo, kuna mazao gani yanalimwa kwa wingi?
2. Kuna viwanda vinavyosindika mazao hayo? Na ni mazao yapi husindikwa
3. Kama hakuna viwanda, kuna maduka ya vyakula na dawa za mifugo karibu na unakofanyia ufugaji?
Mtama mara nyingi yanakuwa makubaliano na muuzaji,wanapima kwenye kopo(chibuku) hasa kwenye minada na bei ni kati ya sh. 200-1000 inategemeana na msimu wenyewe. kwa mfano sasa hivi tunaingia kwenye bei rahisi.Kwa kifupi,Maeneo kama Dodoma inawezekana kufanyika unenepeshaji kwa kutumia vyakula ulivyovitaja. Aidha kiwango cha faida kitatokana zaidi na bei ya vyakula. Asilimia 60 hadi 70 ya gharama za unenepeshaji hutokana na vyakula vya ziada,nje ya malisho kwa kuchunga au kuwaletea walipo.
Utakavyovipata kwa urahisi na bei nafuu,utarajie faida kuongezeka.
Maji ya kutosha kwa ajili ya kunywa mifugoni muhimu pia.
Dodoma ni sehemu kame hivyo malisho,maji,mazao na mabaki yake nafikiri yatakuwa kidogo.
Aina ya mazao uliyotaja yanapatikana huko yanaweza kutumika endapo kutaongezewa vitu vichache kuchanganyia. Kabla ya kushauri zaidi mchanganyiko, nipe bei kwa kilo ya mtama, na mashudu ya alizeti.
Mkuu nilijua kuna namna ya kuwanenepesha kumbe ni majani tu, kama ni majani hapo ni bahati nasibu either anenepe au akonde.Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
Me nadhani ni vyema mkuu ukaleta hivyo vipimo na namna ya uchanganyaji wa hivyo vyakula kwa sababu Tanzania yetu kwa kawaida haina bei sahihi haswa katika mazao so tukisema tuanze mahesabu nitakuwa najidanganya kwa maana kijiji hiki naweza pata kwa bei fulani na kile bei ikawa tofauti.Nielewe. Nataka kufanya kitu kinaitwa uchanganyaji vyakula"feed formulation" kwa kutumia vitu vinavyopatikana kwa wingi. Chakula kitakachochanganywa lazima nijue gharama yake kwa kilo. Kujua gharama ya chakula hicho,lazima nijue vilivyomo vina bei gani? Mwisho nifanye financial analysis -mchanganuo wa gharama kifedha na vigezo vingine vya kitaalamu. Lengo ni kuona kama italipa au hailipi,ndipo nitoe ushauri ufanye au usifanye au iweje!
Ukisema ni rahisi tu, hiyo haitoshi.
Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
sawa mama= malisho
Is it true bro tupe kwa undaniKenya kuna daktari ananenepesha mpaka ngombe 2500 kwa mwaka. Je Tanzania tunaweza?
Unafanyia wapiNi biashara ni ninayoijua vizuri sana na uzoefu mkubwa naifanya kwa muda sasa ila kwa kiwango cha kawaida
Unafanyia wapiMimi nimeanza msimu huu tayari nimenunua kama 50 hivi mwaka huu bei zilikua chini sana,bei ya juu kabisa nimenunua 130,000,kwangu ni biashara mpya ila nipo kwenye kuitafiti kuona changamoto na faida zake,kwa sasa naendelea kunenepesha kwani mvua zimeshaanza na malisho sasa yapo yakutosha
Sijakupata naomba ufafanuziVery Good. Tunatakiwa kuchangamka namna hiyo,na usishangae ukaja uza 500,000/= kila mmoja. Kitakachokukwamisha ni kama utauza soko la ndani. Jitahidi uuze nje ya nchi watakapokuwa tayari. Takwimu za karibuni,zinaonyesha nyama inadoda kutokana na ukwasi. Mfano Dar,kuna maeneo kilo moja ya nyama ni Tsh 5500/= ambayo huko nyuma ilikuwa 8000/= hadi 9000/=. Ukipiga hesabu,ngombe wa kilo 250 (kwa ambao unao hawatafika hivyo),akichinjwa 48% ndio nyama sawa na kg 120*5500/= sawa na 66000. Ina maana atanunuliwa kama 400,000/ hivi mnadani Pugu. Ila huyohuyo ukimpeleka mf. Kenya,waweza kupata 600,000/= au zaidi.
Mimi nimeanza msimu huu tayari nimenunua kama 50 hivi mwaka huu bei zilikua chini sana,bei ya juu kabisa nimenunua 130,000,kwangu ni biashara mpya ila nipo kwenye kuitafiti kuona changamoto na faida zake,kwa sasa naendelea kunenepesha kwani mvua zimeshaanza na malisho sasa yapo yakutosha
DuhWanamshika mkia tu anavyotingishika wenyewe washajua uzito na bei yake
Hakuna jambo nchini hapa ambalo halijajadiliwa Jf, labda mambo yajayo!Ili wazo niliwaigi kuwa nalo. Kumbe na uzi ulishaga wekwaaa. Aisee umaskini mbaya sana .Ningekuwa na kianzio ningekuwa mbali sana.
Mkuu umenichekesha sana et "ukaishia kuchinja pasaka kwa hasira"mikoani tumekua herbivorous mkuu nyama haziuziki unaweza nenepesha ng'ombe ukaishia kuchinja pasaka kwa hasira