Biashara ya kunenepesha ng'ombe kuuza

Moneyowner

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,423
1,251
Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
 
Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
***
wapi wanapatikana kwa laki 2,3?
 
Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
mikoani tumekua herbivorous mkuu nyama haziuziki unaweza nenepesha ng'ombe ukaishia kuchinja pasaka kwa hasira
 
Bandugu fursa nyingine hiyo mtaji mdogo tu kama m2 ivi, especially kwa wale wa mikoani, tafuta sehemu yako yenye marisho mazuri, nunua ng'ombe hata watano kwa lak 2 au 3 , walishe vizuri uza baada ya miezi 2 ivi wakinenepa vizuri hapo unaweza uza kwa lak 5 au 6 kwa kila ng'ombe.
kwa anaetaka kujikomboa na magu fursa hiyo hapo
Nawasilisha
Soko liko wapi? na lina uhakika upi? Nataka nami niifanye
 
Msimu wa kuanza kilimo au ukame mkoa wa shinyanga na jirani zake
Ndugu,kama kuna ukame,naye mtoa post kasema unawachunga miezi miwili wananenepa! Loh! hii ikoje? Au majani yataota kwa vile unataka faida? Nahisi kuna mahali hujaeleza vizuri kuhusu kitu kinaitwa "Vyakula vya Ziada" hasa kipindi cha kiangazi.
 
wanunuzi ni wale wanaosafirisha ng'ombe kupeleka Dar,ukiwa na ng'ombe wenye afya nzuri ni rahisi sana kuuza
Asante. Wanakadiriaje bei ya ngombe,kwa kilo au kwa macho? Na utajuaje kuwa huyu akinenepa utauza kwa laki 5 ikiwa umemnunua laki 2 au 3?
 
Back
Top Bottom