Biashara ya kufanya mtaji 30 milioni

lugom

Member
Oct 26, 2024
25
53
Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.

Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.

Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,

Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.

Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.

Ushauri wenu wadau wangu!!.
 
Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.

Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.

Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,

Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.

Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.

Ushauri wenu wadau wangu!!.
Kama ni pesa ya mkopo uwe makini na mradi wa mda mrefu
 
Changamoto kubwa kwako ni kukosa usimamizi na muda wako.
Kwa mtaji huo kwa kukushauri ni bora utafute hata bajaj 1 upewe hesabu daily kwa mtu ambae anaeeleweka maana ukitegemea biashara ya kusimamiwa na mwingine kwa mtaji huo hapo unaweza ukapigika vibaya mno.

Kuhusu ke mfamasia wa kuoa wapo wengi tu, tuma advansi nikupe connection. Huyu hatakiwi kujua nia yako na mfuko wako upoje kabla hamjafahamiana, kutangaza ni kujiweka kwenye hatari ya kupigwa waziwazi kwa sababu nia yako washaijua na watajipanga.
 
Kwa upande wangu, kabla hujaaza kufafa chochote lazima kwanza ujue changamoto zake, hasara na faida, iwe biashara, kilomo au ufungaji na uvuvi. ukisha jua changamoto hasara na faida, chagua unachoona utakimudu. Miti ya mbao ni mizuri ila na yenyewe inahitaji matuzo, kumbuka adui wa miti ya mbao ni moto hivyo inahitaji sana uangalizi.
 
Mpaka una
Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.

Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.

Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,

Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.

Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.

Ushauri wenu wadau wangu!!.
Fikisha milioni 30 haujui nini cha kufanya? Kuwa makini na hizo pesa zako unaweza kuzikosa zote
 
Uko pande gani? nione kama location inaspoti
Ku risk pesa yote hio kwenye pharmacy ni bora uanze na duka la dawa muhimu uone upepo utakavyo kua kisha hu expand
Ishu ya usimamizi kuna wahitimu wa maliza vyo hawana pa ksenda anza na hao kuliko kuoa upate msimamizi
Hizo mipango mngine ipo sawa
 
kwa mtaji wa 30m
Mpaka sasa umeshapoteza nusu ya pambano coz hujui unataka nini.Kama ni mkopo usiende kukopa coz hujui utafanyia nini.Mara nyingi mkopo huendeleza biashara na siyo kuanzisha kutoka chini.

Kupitia uzoefu wa hiyo biashara ndiyo itakupa akili, maarifa, ujuzi na elimu coz utakuwa unaijua kwa uhalisia wake na siyo kwa nadharia kama unavyohangaika hapa.
Tuliza kichwa coz unaonekana una papara.

Ushauri:

Fungua biashara yoyote ambayo unaipenda kutoka moyoni na una mahaba nayo, anza na mtaji mdogo ili upate uzoefu kwanza. Zingatia neno uzoefu.
 
Kwa mtaji wako kiongozi kama sio mkopo basi una uwanja mpana wakutumia pesa zako ,Mimi Niko na mawazo 2 ,ambayo ni Financial services pamoja na ardhi (kilimo).

Financial services,hii inaitaji tu mfanyakaz mwaminifu pamoja na location ya mzunguko ndipo kutakua na faida kubwa hii asara zake labda tu mfanyakazi akosee kufanya muamala tofauti na hapo ni maokoto tu .

Ardhi (kilimo)
Ardhi unaeza kununua na kua na hati miliki ukawa umetunza ela zako bila kuhitaji msimamizi na ardhi Kila siku thamani inapanda juu mfano kwa huku kwetu mbeya kwa baadhi ya maeneo aridhi yake inagharama sana na inapanda Kila siku

Either ununue ardhi Kisha ufanye kilimo Cha muda au Cha muda mrefu kama kupanda miti .nb shambani Kuna ela sana kwa huku kwetu kwa kilimo Cha kiazi na mahindi.
Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.

Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.

Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,

Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.

Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.

Ushauri wenu wadau wangu!!.
 
Back
Top Bottom