Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.
Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.
Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,
Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.
Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.
Ushauri wenu wadau wangu!!.
Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.
Kwakweli Mimi kwaupande wangu naamini biashara ni usimamizi na mm saivi niko kwenye ajira ya serikali nanilipo kuwa nataka kufungulia hiyo pharmacy nimbali kidogo na eneo langu la kazi .lengo langu ni hapo badae nije kuachana na ajira nifanye biashara wakati zikiwa zimesha simama ,
Option ya pili baada ya pharmacy ilikuwa ufugaji wa nguruwe ila nimefanya utafiti nimekuja kugundua huu ufugaji unaugumu sasa kutokana naulishaji pia kama uzalishaji nimkubwa soko lake ni finyu kidogo.kuna mtu kanishauri nitafute shamba nipande miti ya mbao baada ya miaka 10-15 nitazalisha hela nyingi.
Mwingine kanishauri nitafute eneo ninunue mbuzi 100 nifuge bada ya miaka mitano makadirio yakati ntakuwa nimesha zalisha mbuzi kama 1500 na soko la mbuzi liko juu sana.
Ushauri wenu wadau wangu!!.