Insider Boy
Member
- Aug 5, 2015
- 83
- 185
- Thread starter
- #21
Nimekupata vyema mkuu.. ngoja nitafute location nzuriPamoja sana. Usiogope. Hakunaga pesa inayotosha kuanzisha kitu. Hata huo mtaji wako ungekuwa ni 700M badala ya 7M, bado tu usingeweza kuweka kila kitu.