cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,670
- 78,169
Ukute mtu ana eicher namba e bado mbichi halafu yupo route ya tegeta,mbagala, Gongo la Mboto sijui wana hali gani.
Maana Mwendokasi unakuja kuwaondoa wote
Mwaka gani?
Ukute mtu ana eicher namba e bado mbichi halafu yupo route ya tegeta,mbagala, Gongo la Mboto sijui wana hali gani.
Maana Mwendokasi unakuja kuwaondoa wote
Watu wengi sana daladala ana abiria wake na mwendokasi ana abiria wakeNdio. Sababu wanasiasa uchwara watabana hizo ruti za daladala. Kwani unadhani kule kubanana kwa mwendokasi za Kimara kungekuwepo kama ruti za daladala zingekuwepo
Hizi daladala huwa zikiwa mbele au nyuma yangu huwa nakuwa na wasiwasi sana chuma ziko juu juu wakati wote hazitulii zinaweza kukuchota.ukutane na zile TATA namba E za Msasani-Gomes, aka ndege za ardhini
hahahaha🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣chuma ziko juu juu
Hapa inazungumzwa in terms of business. SSB Group au METL hakuna yenye uwezo wa kulisha hata 8% ya Watanzania ila ikianzishwa kampuni nyingine kwenye vyakula kubwa kama Azam au Mo tiyari biashara zao zinaguswa pakubwa.Watu wengi sana daladala ana abiria wake na mwendokasi ana abiria wake
Zipo zinapita maji chumvi gerezaniAcha uongo wewe Mbezi ya wapi kuna daladala za route ya posta au kariakoo..labda bajaji
Zipo za kwenda Mnazi Mmoja ila hazipiti Morogoro road. Zikitoka Mbezi hadi Kimara Korogwe zinapita barabara ya Maji Chumvi, Makuburi hadi External. Baada ya hapo, kuna zinazopita Buguruni, nyingine zinapita Ubungo Maziwa, kisha zinakutana Karume, Kkoo, hadi Mnazi Mmoja.Acha uongo wewe Mbezi ya wapi kuna daladala za route ya posta au kariakoo..labda bajaji
Mwaka huu nimeagiza mabasi mia ya kwenda Mbwinde na Mbagala.Zipo za kwenda Mnazi Mmoja ila hazipiti Morogoro road. Zikitoka Mbezi hadi Kimara Korogwe zinapita barabara ya Maji Chumvi, Makuburi hadi External. Baada ya hapo, kuna zinazopita Buguruni, nyingine zinapita Ubungo Maziwa, kisha zinakutana Karume, Kkoo, hadi Mnazi Mmoja.
Kitu kama haukijui, unauliza, sio unaanza kubwabwaja kama domokaya.Acha uongo wewe Mbezi ya wapi kuna daladala za route ya posta au kariakoo..labda bajaji