Fernando Wolle
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 387
- 772
Daladala bado Dili sana Dar. Pamoja na gari zote na mwendokasi, usafiri Dar bado ni shida
ukutane na zile TATA namba E za Msasani-Gomes, aka ndege za ardhiniUkute mtu ana eicger namba e bado
Mbagala Ina watu sana.....usafiri hautoshagi siku zoteUkute mtu ana eicger namba e bado mbichi alafu yupo route ya tegeta,mbagala, g mboto sijui wana hali gani
Maana mwendokasi unakuja kuwaondoa wote
Mkandarasi tayari kuweka BangoHv huu mradi wa posta to tegeta unaanza lini
Nliskia mkuu wa mkoa akisema wameshazindua....ila sioni utekelezaji
DAR sio kubwa ila ina watu wengiDar es salaam ni kubwa sana hii
Ujio wa hiyo barabara utakavyokuwa ni kama tu hakijatokea kitu katika sekta ya usafirishaji
Watu wengi hawapendi mwendo kasi, hazina konda halafu kuna baadhi ya madereva hawasimami kila kituo so ukikaa seat ya nyuma utapitilizwq unaposhukia, haufai huo usafiri heri daladala ukigonga body suka anasimama unashuka.Mbezi Kuna mwendokasi na bado Daladala zinapiga mzigo kama kawa
Kwa wingi wa watu wa gomz haitakua usumbufu hapo?Ushasema Tandika Goms, waondoe goms ifike hadi Chanika
Ndio. Sababu wanasiasa uchwara watabana hizo ruti za daladala. Kwani unadhani kule kubanana kwa mwendokasi za Kimara kungekuwepo kama ruti za daladala zingekuwepoMwendo kasi hii hii ya wabongo
Kumbuka kutakuwa na mwendokasi. Inapita pale Temeke itaenda Goms zo still watakuwepo watakaopanda Mwendokasi ambayo itaishia Goms.Kwa wingi wa watu wa gomz haitakua usumbufu hapo?
Acha uongo wewe Mbezi ya wapi kuna daladala za route ya posta au kariakoo..labda bajajiMbona mbezi zipo kibao tu na mimwendo kasi ipo
Okay hapa nimekupata kwaufasaha mkuuKumbuka kutakuwa na mwendokasi. Inapita pale Temeke itaenda Goms zo still watakuwepo watakaopanda Mwendokasi ambayo itaishia Goms.
Je, anayetoka Temeke kwenda Chanika sio fursa ya daladala hiyo?
Hii ya Kigamboni Mbezi via Mandela road imekaa poa sanaWabuni ruti mpya. Gongo la Mboto Mbagala via Mvuti na Kitonga.
Mbezi Bunju via Mpigi Magoe/Mabwepande
Mpigi Magoe to Gongo la Mboto via Mbezi
Chanika Tandika via Gongo la Mboto
Tegeta Segerea via Mbezi
Goba Segerea via Mwenge
Kigamboni Mbezi via Mandela Rd
Ununio Makumbusho via Mwai Kibaki Mbezi Chini
Kigamboni-Kinyerezi via Mandela Rd/Tabata
Tatizo hao LATRA wenu hawana watu waona mbali....eti kuna viroute Mbezi Segerea. Au Kimanga Kinyerezi.