kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
wanajamii, kuna rafiki yangu nilikuwa naongea naye weekend hii, anaishi nje ya nchi ila anataka kurudi Tanzania na kuwekeza. mojawapo ya business idea ni kufungua BOOKSHOP,. sasa wanandugu kwa kuzingatia kuwa watanzania wengi hawana mwamko wa kusoma, Je biashara hii inaweza kulipa? na kama inaweza kulipa je wapi ni location nzuri.. na vitabu vinakuwa sourced wapi.. wenye mawazo ya kujenga naomba ushauri wenu ili nami nimshauri huyu rafiki yangu