Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,871
- 10,091
Wana JF,
Sikuwahi kudhani hapo nyuma kama bodaboda inaweza kutajirisha mtu kwa kumtengenezea mpaka Tshs 3 millioni kwa mwezi (other factors remain constant) kwa kuanza na bodaboda moja tu!
Imagine umenunua bodaboda MPYA aina ya Boxer (pamoja na gharama zingine kama insurance nk) kwa Tshs 1.7 million.
Kwa hapa Dar, kila siku bodaboda inaingiza Tshs. 10,000 (kama umeajiri dereva akupigie kazi). Hivyo kwa wiki unapata Tshs. 70,000 ambayo kwa mwezi ni Tshs 280,000 Net.
Kwa mapato hayo ya mwezi, itakuchukua takribani miezi 6 kurudisha mtaji wako wote. Hivyo kuna option 2, kuuza bodaboda na kuongeza fedha kidogo ili upate zingine mbili, au kuendelea kubaki nayo kwa miezi mingine 6 ili ununue nyingine na ziwe 3.
Hii maana yake ni kwamba, ndani ya mwaka (if other factors are constant) unaweza kuanza na bodaboda moja na kuufunga mwaka na bodaboda 3!
Unaweza kufanya hesabu ili kupata mapato ya mwezi kwa bodaboda 3. Hivyo kama mambo yataendelea vizuri, kuna uwezekano ndani ya miaka 3 kuwa na boda zaidi ya 10 na kufanya pato la mwezi kuwaTshs 2. 8 millioni.
Other factors being constant. That is the catch, kwani they are never constant. Kijana hatoleta sh 70,000 kwa wiki, then atapata ajali then atafungwa au kuibiwa. Doesnt work that way kwenye biashara
Wana JF,
Sikuwahi kudhani hapo nyuma kama bodaboda inaweza kutajirisha mtu kwa kumtengenezea mpaka Tshs 3 millioni kwa mwezi (other factors remain constant) kwa kuanza na bodaboda moja tu!
Imagine umenunua bodaboda MPYA aina ya Boxer (pamoja na gharama zingine kama insurance nk) kwa Tshs 1.7 million.
Kwa hapa Dar, kila siku bodaboda inaingiza Tshs. 10,000 (kama umeajiri dereva akupigie kazi). Hivyo kwa wiki unapata Tshs. 70,000 ambayo kwa mwezi ni Tshs 280,000 Net.
Kwa mapato hayo ya mwezi, itakuchukua takribani miezi 6 kurudisha mtaji wako wote. Hivyo kuna option 2, kuuza bodaboda na kuongeza fedha kidogo ili upate zingine mbili, au kuendelea kubaki nayo kwa miezi mingine 6 ili ununue nyingine na ziwe 3.
Hii maana yake ni kwamba, ndani ya mwaka (if other factors are constant) unaweza kuanza na bodaboda moja na kuufunga mwaka na bodaboda 3!
Unaweza kufanya hesabu ili kupata mapato ya mwezi kwa bodaboda 3. Hivyo kama mambo yataendelea vizuri, kuna uwezekano ndani ya miaka 3 kuwa na boda zaidi ya 10 na kufanya pato la mwezi kuwaTshs 2. 8 millioni.
Ni ushauri mzuri. Na sio mara zote 'other factors' zitakuwa kama zilivyo. Kuna siku utapaleka chombo kwenye matengenezo, ujue hio 10,000 haitapatikana. Siku dereva akiugua ujue ndo siku ishaenda, siku akiletewa shobo na polisi ama TRA ndio siku ishakata, etc.
Tulishapita huko mkuu na tulipga sana hizo mathematics kabla hatujawakabidhi hawa vijana bodaboda!
Sipendi kukukatisha tamaa ila ukitaka kuwezana nao ingia nae mkataba na umkabidhi hiyo bodaboda kama yake kwa dhamana maalum ndani ya miezi 10 tu daily akuletee Tsh10k. Akifuzu huo mtihani muachie iwe yake. Na ili ufanikishe mambo yako anza na pikipiki3 mpaka5 ili ikitokea mmoja kazingua usiumie sana roho.
All in all ugopa kuletewa kipande utabuluzwa na huyo chalii vibaya sana uichukie bodaboda na biashara yenyewe.
kila biashara mnaidiscourage,basi mi naanzisha danguro,mtakuja tu kula mizigo
hakuna biashara isiyokua na risk mkuu,na ukiwa muoga kamwe hutofanya biashara yoyote!kikubwa tafuta the best way uwezavyo kuovercome/reduce risk.kumbuka biashara yenye risk zaid ndio yenye faida kubwa...Teh teh teh. Hata danguro akina Kova huwa wanakuja kuwavurumua na mitutu. Na yenyewe sio ya uhakika sana kihivyo! Labda ujaribu sembe, kwa kuwa ni biashara ya wakubwa!
kila biashara mnaidiscourage,basi mi naanzisha danguro,mtakuja tu kula mizigo
usiombe ukawa na pikipiki mpya umkabidhi kijana imekula kwako mi kuna rafiki yangu mwalimu na pia kuna mama rafiki wa mama yangu walifanya hivyo wale vijana wakasema walitekwa na kuibiwa walipopelekwa mahakaman wote wameshinda kesi wako huru