Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Baada ya kuona hali ya kimaisha inazidi kuwa ngumu nimeamua rasmi nijikite katika ujasiriamali, na biashara ya kwanza ninayoifikiria ni Barber Shop (Saluni za kiume za kisasa).
Kwa memba yeyote anayeifahamu hii biashara kwa ufasaha zaidi anisaidie mchanganuo, pia kama kuna mtu amesikia saluni inauzwa ani-pm tafadhari.
Shida huleta maarifa.
Kwa memba yeyote anayeifahamu hii biashara kwa ufasaha zaidi anisaidie mchanganuo, pia kama kuna mtu amesikia saluni inauzwa ani-pm tafadhari.
Shida huleta maarifa.