Biashara sio kwa ajili ya Kila mtu

Biashara sio kwa ajili ya Kila mtu

Hapa nazungumzia zile biashara kubwa kubwa
Hata pub zinachanganya , mara dada wa kaunta anapita na kibunda unarudi sifuri , biashara ni kuchanganyikiwa tu
Hapa nazungumzia biashara zile za kuacha alama
 
sijawahi kuingia wala kufanya biashara... nataka niingie rasmi, nifungue biashara ya duka la Mangi.
mnafanya nibaki njia panda!
Inategemea na malengo, strength yako nk

Binafsi nikiona kijana below 25 anawaza kumiliki bajaji/bodaboda au duka la mangi naumia sana
 
Ndivyo ilivyo kwani zinaisha???

Ila sijui boss Calito aliwezaje ku simamia na wavuvi for years
Sidhani kama Calito ana pub, hapa nimezungumzia pub. Na Calito sio SI unit ya maeneo ya starehe kwamba yeye akiwa amefanikiwa basi kila mmiliki wa biashara za starehe hana changamoto.

Uzi wako wenyewe unasema biashara sio ya kila mtu, sio kila mtu ni Calito.
 
Back
Top Bottom