Biashara: Nasambaza dagaa waliokaangwa

Biashara: Nasambaza dagaa waliokaangwa

Mledi haswa

Senior Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
161
Reaction score
172
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanajamvi. ninasambaza dagaa wasafi waliokaangwa kutoka mwanza kwenda mikoani kama shinyanga, singida, dodoma, morogoro na dar pia.

Dagaa hawa nimewaweka kwenye mifuko maalum ambayo ninauza kila mfuko mmoja sh. 1000. hutajutia kufanya biashara nami kwani kwa wanunuaji wa jumla haitakuchukua muda kumaliza mzigo.

Kwa yoyote atakaependa kufanya biashara nami no 0785874776
 
Back
Top Bottom