Mi siamini ktk mtu kumbunia biashara mtu mwingine, ila inataka kwanza, ufikiri cha kufanya then pata ushauri na utafiti makini wa kile unachoamini unataka kufanya, then tafuta fedha kutokana na vile ulivotafiti kwa makini baada ya hapo anza kuifanya hio biashara, huwezi kufanikiwa sana kwanza kwa kuwa na fedha then uanze kutafuta cha kufanya. Biashara ni zaidi ya fedha, panga kwanza tena fanya utafiti wa kutosha, sio umeenda kwa kinyozi Jumamosi ukakuta watu wengi wananyoa na wengine wanasubiri ukadhani hii biashara ni nzuri ili uwe na uhakika nenda J3,j4,5,alhamisi, ijumaa na jumapili, mwanzo wa mwezi na kati na mwisho wa mwezi, usiige biashara wala usiongozwe na biashara yenye faida kubwa ina risk kubwa pia, Pia nilazima uipende hio biashara, na fanya ukiamini ndiyo hiyo itakayokutoa usiwe na tamaa ya kubadilibadili biashara, Yapo mengi na wengi wamefanikiwa sana na Ukumbuke kutoa sadaka kwa kuombea kile unachotaka kufanya, usitoe kama Mungu ni Maskini) eg, Bwana Mungu Natoa Sadaka hii iwe mbegu bora yenye kuzaa matunda mengi na yenye manufaa kwangu na jamii yangu.) na utakapotaka kufanya Biashara yako na Uombe kwa kusema, Mungu naomba uikumbuke sadaka yangu na Kuitabakari) basi utafanikiwa sana.