Hapo inategemea na biashara yako na location uliyopo.Mimi ni graduate nilipata kazi nikafanya kwa muda wa miaka kama saba hivi kupata mtaji then nikaamua kuanzisha biashara,unajua biashara kuanzisha si kazi ukiwa na mtaji,kazi ngumu kwenye biashara ni kuifanya iendelee kuwepo.
Sasa wakati biashara inaanza mara nyingi inaanza vizuri but ukifika muda unakuta mambo hayaendi kabisa number ya wateja wako basic unakuta ghafla hawapo na hakuna wateja wapya wanaoingia dukani kwako aisee hii kitu usiombe unafanya kila kitu unachoweza kufanya kwa usahihi alafu matokeo hupati apa ndio nikajua kwa nini watu wanaenda kwa waganga.
Mashekhe au kwa wachungaji ili kuweza kupata msaada, kuna kipindi biashara inakua ngumu mpaka unaona bora urudi kwenye mshahara wa laki tano kwa mwezi big up sana kwa wafanya biashara walioweza kukuza mitaji hii kitu siyo rahisi mazee
Sio kwelKitu kingine kikubwa kwenye biashara ni muhimu kuiambatanisha na nguvu za rohoni(Nuru). Huwez ukafanya biashara kawaida halafu ukafanikiwa.
Unatakiwa ufahamu hii kanuni : "Hakuna hela/fedha rahisi", ukilijua hili hutapata tabu hapa duniani!Sasa wakati biashara inaanza mara nyingi inaanza vizuri but ukifika muda unakuta mambo hayaendi kabisa
Wapo na wengine!Hao Ni wakinga
Duuh hatari,yaani sisi tugome kula wewe uuze majeneza!Hapo inategemea na biashara yako na location uliyopo.
Mfano mie biashara yangu ya majeneza nimeweka office jirani na eneo la hospital halafu nna connection na madaktari na manesi wa hospitalini hapa ili wawe wananiunganishia wateja wapya kila siku na huwa wanahakikisha nauza kila siku maana kila anayeleta mteja ana percent yake
DuhHapo inategemea na biashara yako na location uliyopo.
Mfano mie biashara yangu ya majeneza nimeweka office jirani na eneo la hospital halafu nna connection na madaktari na manesi wa hospitalini hapa ili wawe wananiunganishia wateja wapya kila siku na huwa wanahakikisha nauza kila siku maana kila anayeleta mteja ana percent yake
Kama umekwenda shule epuka mno kuanzisha biashara ambazo hata ambao hawajaenda shule wanaweza kufanya, ni lazima utakwama tu.ghafla hawapo na hakuna wateja wapya wanaoingia dukani kwako aisee hii kitu usiombe unafanya kila kitu unachoweza kufanya kwa usahihi alafu matokeo hupati apa ndio nikajua kwa nini watu wanaenda kwa waganga.
naweza amini biashara ngumu sana aisee.Tulia wewe ,hujui kitu
We unaona hizo biashara zimesimama unadhani hizo biashara ndio zinagenerate faida si ndio ?
Watu wanafanya mambo yao meusi pembeni hizo biashara ni changa la macho tu
Watu wanafanya utakatishaji pesa , ukwepaji kodi , Rushwa , kuuza bidhaa feki , kupunja na kufanya Magumashi kibao
Mfumo wa nchi hii ni wa ovyo mno
Hairuhusu private sector na ujasiriamali kuthrive ,kama unaona hizi ni stories anzisha biashara halafu ulete mrejesho hapa
Kazi zoto ni nyepesi kazi ngumu ni kuanzisha biashara ikakua huku watoto wakienda shule na baadhi ya maendeleo unayafanya huku mtaji ukiongezeka,ndio maana matajiri wanaitwa wachawiMimi ni graduate nilipata kazi nikafanya kwa muda wa miaka kama saba hivi kupata mtaji then nikaamua kuanzisha biashara,unajua biashara kuanzisha si kazi ukiwa na mtaji,kazi ngumu kwenye biashara ni kuifanya iendelee kuwepo.
Sasa wakati biashara inaanza mara nyingi inaanza vizuri but ukifika muda unakuta mambo hayaendi kabisa number ya wateja wako basic unakuta ghafla hawapo na hakuna wateja wapya wanaoingia dukani kwako aisee hii kitu usiombe unafanya kila kitu unachoweza kufanya kwa usahihi alafu matokeo hupati apa ndio nikajua kwa nini watu wanaenda kwa waganga.
Mashekhe au kwa wachungaji ili kuweza kupata msaada, kuna kipindi biashara inakua ngumu mpaka unaona bora urudi kwenye mshahara wa laki tano kwa mwezi big up sana kwa wafanya biashara walioweza kukuza mitaji hii kitu siyo rahisi mazee
😀😀😀FreemasonKazi zoto ni nyepesi kazi ngumu ni kuanzisha biashara ikakua huku watoto wakienda shule na baadhi ya maendeleo unayafanya huku mtaji ukiongezeka,ndio maana matajiri wanaitwa wachawi