aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 4,124
- 11,901
Mara nyingi huwa napita pale Feri , ni saa moja asubuhi lakini kuna jamaa wanauza juisi baridi ya miwa.
Watu wamejazana sana mara zote utadhani ni mchana wa saa saba! Nilidhani ile biashara inauzika mchana, ila pale kuanzia saa moja kasoro asubuhi jamaa wameshajaza watu.
Watu wamejazana sana mara zote utadhani ni mchana wa saa saba! Nilidhani ile biashara inauzika mchana, ila pale kuanzia saa moja kasoro asubuhi jamaa wameshajaza watu.