biashara asubuhi

Smarty

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
776
426
Kuna mke wa mtu kafumaniwa guest na mumewe. kijinusuru ikabidi atoke ndani uchi, alipofika nje akakuta tax akaingia na kumuamrisha dereva " ondoa gari fasta deleva ikabidi amshangae kidogo, dem kamwambia unashangaa kitu gani kuna usichokijua hapa mbona hata mkeo yupo hivi? dereva akamjibu kuwa mi sishangai huo mwili wako, hapa najiuliza pesa yangu umeihifadhi wapi? ( umeiweka mfuko gani?)
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom