Bia ni kifungua kinywa bora tangu enzi za wahenga

۞mwenyezi Mungu alishasema kwenye Qur'an

[ AL - BAQARA - 219 ]
Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari. Sema: Katika hivyo zipo dhambi kubwa na manufaa kwa watu. Lakini dhambi zake ni kubwa zaidi kuliko manufaa yake. Na wanakuuliza watoe nini? Sema: Kilicho chepesi. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Aya zake mpate kufikiri--
 
tatizo alcohol blow itanichoma asubuhi na mapema😂😂😂
 
Sky leo umenifanya ninywe bia ingawa haikuwa kwenye ratiba! glass imenihamasisha sana! nimejikazaa mwisho nimeshindwa! liwalo na liwe, ngoja nikapate walau 3 tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…