tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,399
- 4,732
Mwenzenu anahisi
Nimeona mwenzio anasema eti ujumbe umefika kimataifa wakati kommenti,kama unavoziita ni za kiswahili?Nyie ndo mnajifunza tu.Wakenya sisi hatutusi mabinti wa wenyewe.Sisi CNN,S.A kwa ujumla pia Nigeria tuliwavamia twitter sasa hivi wanajua K.O.T(Kenyans on Twitter) ni nini?CNN na waS.A hadi wakaomba msamaha.Ujumbe kupitia mtandao hadi uuone kwenye 'international media' ndo utajua umefika kimataifa.Kama mnataka kujua umoja wa wakenya KOT achaneni na binti wa wenyewe.Vamieni wakenya kwa jumla mtajua kilichomtoa kanga manyoya!Anzeni [HASHTAG]#someonetellkenya[/HASHTAG] kwa twitter ila sidhani itatrend kimataifa,siunajua watz na kiingereza ni kama maji na mafuta?Ngumu kupatana!
Nimeona mwenzio anasema eti ujumbe umefika kimataifa wakati kommenti,kama unavoziita ni za kiswahili?Nyie ndo mnajifunza tu.Wakenya sisi hatutusi mabinti wa wenyewe.Sisi CNN,S.A kwa ujumla pia Nigeria tuliwavamia twitter sasa hivi wanajua K.O.T(Kenyans on Twitter) ni nini?CNN na waS.A hadi wakaomba msamaha.Ujumbe kupitia mtandao hadi uuone kwenye 'international media' ndo utajua umefika kimataifa.Kama mnataka kujua umoja wa wakenya KOT achaneni na binti wa wenyewe.Vamieni wakenya kwa jumla mtajua kilichomtoa kanga manyoya!Anzeni [HASHTAG]#someonetellkenya[/HASHTAG] kwa twitter ila sidhani itatrend kimataifa,siunajua watz na kiingereza ni kama maji na mafuta?Ngumu kupatana!
.poleni sana majirani mana mnaitamani sn bongo ila ndo mipango ya mungu jamaniKwa hilo hata mimi naliunga mkono wakilisema tu asubui asubui tunawapelekea pale Namanga Mccm waoCcm ni ya kenya, lumumba ipo kenya...
Inabidi akatuombe msamaha kupitia vyombo vya habari vya kimataifa kama BBC, CNN, DW, CCTV, ALJZEERA, ....His excuse cant works,maana ujumbe umeshasafiri KIMATAIFA.