Bi harusi aingizwa mkenge na big boss!!!!!!!! Mji hauna mwenyeji!!!!

Je huyu dada kama asingefanyiwa "usaliti" huu wa kutoaminiwa, angeweza kuufanya yeye mwenyewe bila kishawishi?

If history is a good guide to the future then it's obvious you can't turn a ho into a housewife!


Sasa bi dada pamoja na kutulia baada ya KUSTAAFU kuwa homa ya jiji historia yake huko nyuma si ya KURIDHISHA.( Ndo maana rafiki yangu atii, sie warabu wa pemba!) Alijirekebisha, akasoma na kuaquire class katika jamii. Wale watu wa uswaa aliembakiza katika circle yake ni mie tu na sababu lazima ubakize back up kidogo jst incase!!!!
 
huyo dada ni kilaza sana...................... balance huwa inaombwa info desk........ mtu kapanga foleni ya kwa teller just kuomba balance? na anakutega unategeka? hesabu za integral ngumu, hata za kujumlisha jamani?


wengi wao ni wale waliodifferentiate constant!!
 
The boss didn't set her up.

She set herself up and got busted.

It's her own fault for not being principled enough to adhere to the fidelity that is expected in a relationship unless theirs was an open one.

She has no one to blame but her own damn self (if she cares).
utanidai reputation yako tafadhali.
 
Kazidiwa akili tu na MJI

katika habari yao kuna sentensi hii '''NILITAKA KUDHIBITISHA KWA MACHO YANGU,SASA NIMEONA! KWAHERI!!!!''

maana yake ni kwamba rafiki ako alikuwa na huo mchezo na taarifa zikamfikia mchumba wake..ikabidi ajihakikishie kama mtu wake anapofuliwa....
 
Heeheheheh kama anampenda kwa dhati anaweza mrudia, kosa la kwanza haliachishi mke ....
 
Ndio kama huo waloufanya.

Mtoto wa kike hukai ukajituliza, umesikia mwanamme ana pesa ati upige deal, huo mwili uugeuze biashara kisha ukampe mwenzio ati akuoe, kama si ushakunape ni kitu gani?!


Stahili yake

Gotdamnit!

Ungekuwa hapa ningekupa gift certificate ya dola 100!

Chukua likes 300.
 
Akipata mwanasheria mzuri in a court of law situation hapo kuna kitu kinaitwa "entrapment".

Kwamba huyo dada hakuwa na nia ya kufanya hivyo mwenyewe ila alishawishiwa kufanya hivyo kwa kutegwa.

Haiondoi kosa moja kwa moja ila inawekea shaka dhana nzima ya usaliti.

Kati ya mwanamme anayemtumia majeshi mchumba wake ili kumpa majaribu ya kumfanya akubali usaliti na huyu msichana anayekubali nanai kaanza usaliti hapa?

Je huyu dada kama asingefanyiwa "usaliti" huu wa kutoaminiwa, angeweza kuufanya yeye mwenyewe bila kishawishi?

Si kawa entrapped, basi ende mahakamani akadai masurufu kwa kuvunjiwa uchumba wakati tayari alikwisha ingia tamaa.

Pia masurufu mengine yawe kufidia gharama alizokwishaingia kuandaa harusi
 
Si kawa entrapped, basi ende mahakamani akadai masurufu kwa kuvunjiwa uchumba wakati tayari alikwisha ingia tamaa.

Pia masurufu mengine yawe kufidia gharama alizokwishaingia kuandaa harusi

Unanikumbusha ile kesi ya gari lililotolewa kwa mchumba halafu uchumba ukayeyuka, mwanamme akadai gari lake mwanamke anasema ni zawadi alipewa.

Tatizo hapo mambo ya mapenzi na mahakama tofauti. Lakini kama ni a criminal case setting, halafu dada anakuja na kesi kama hii kwa advocate Kiranga, tunachonga bonge la defense on the basis of entrapment. Tunaingiza mineno kibao ya ugumu wa maisha, umbali wa mpenzi, emotional neglect, uhasidi uliosababisha mtego uliovunja kanuni ya "good faith" unaoonyesha kwamba aliyeanza usaliti ni mwanamme wala si mwanamke.

Mpaka jaji anakubali, case dismissed.

http://en.wikipedia.org/wiki/Entrapment
 
kwa sababu ulichoongea kina ukweli mgumu kukubalika na wengi.
My mom's fav quote: you can do anything in this world as long as you are prepared to face the consequences

Watu tunapenda sana kulaumu wengine.

Wewe mke wa mtu mtarajiwa....sababu ya kujirahisi hivyo mbele ya pesa ni nini?

Halafu umetegwa, ukategeka kwa ajili ya mitamaa yako na utovu wa maadili, lawama wapewe wengine.

It doesn't make sense.
 
Kuna matatizo mengi hapa.Ila kubwa ni huyo mdada,she is after monay.Kagua kilichomfanya akaenda kote huko?Je angekua hajatumwa?Ni wangapi wanakuja kwa staili hiyo bila kutumwa?
 
SI wote lakini kuna wengi ni omba omba design. Hata kama hawatoki na wateja...mteja akiwa loaded wanamuangalia kwa macho ya huruma.

Baba yangu alikataa kumtafutia dada yangu tempo alipomaliza form six miaka ya 90 na sababu alompa ni kuwa hataki mwanae awe muomba ofa za lunch...maana yeye alikuwa anaombwa sana akiwa corporate customer wa NBC ya siku hizo.



kwani wapoje mabank teller jamani?
 
Unanikumbusha ile kesi ya gari lililotolewa kwa mchumba halafu uchumba ukayeyuka, mwanamme akadai gari lake mwanamke anasema ni zawadi alipewa.

Tatizo hapo mambo ya mapenzi na mahakama tofauti. Lakini kama ni a criminal case setting, halafu dada anakuja na kesi kama hii kwa advocate Kiranga, tunachonga bonge la defense on the basis of entrapment. Tunaingiza mineno kibao ya ugumu wa maisha, umbali wa mpenzi, emotional neglect, uhasidi uliosababisha mtego uliovunja kanuni ya "good faith" unaoonyesha kwamba aliyeanza usaliti ni mwanamme wala si mwanamke.

Mpaka jaji anakubali, case dismissed.

http://en.wikipedia.org/wiki/Entrapment

Nnavyojua kuna sheria katika baadhi ya nchi (hata Tanzania niliwahi kusoma kesi kama hiyo), una haki ya kumshitaki mtu anaevunja uchumba na akatakiwa akulipe fidia

Sasa huyu kama anajua yeye hana kosa wala asinge commit crime hiyo kama asingechochewa kufanya hivyo, akadai chake cha juu, sheria zipo kumlinda

Advocate Kiranga si utafanya pro bono ili iwe funzo kwa wavunja uchumba wengine kwenye jamii?

:]
 
Back
Top Bottom