GE2025 Bi. Ester James wa UVCCM ajitosa katika kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge Jimbo la Katoro

GE2025 Bi. Ester James wa UVCCM ajitosa katika kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge Jimbo la Katoro

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM Kata ya Nyachiluluma wilayani Geita Mkoani Geita Bi. Ester James amejitosa katika kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge katika Jimbo la Katoro.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hayo ameyaeleza mbele ya vyombo vya habari leo wilayani humo ambapo amesema endapo atapitishwa na Chama cha Mapinduzi atahakikisha anaenda kutatua baadhi ya changamoto za Wananchi wa Jimbo hilo.

 
Ana IQ ndogo mpaka anasoma hotuba nyepesi kama hio. Anyway, kwa kuwa sifa ni kujua kusoma na kuandika, basi Mapenzi ya Mungu yatimizwe.
 
Back
Top Bottom