bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Yaani wewe B...hata sijui nikupe pole, sijui niseme hongera...si unajua hiyo kitu ikiwa tumboni si ugonjwa ehhhh.
Anyway...karibu sana ingawa hamu ya ku-catch up haijaisha!
Nipe hongera bana, it was a hard work kufikia hapa.
Hiyo hamu hebu ishikilie kwanza