Nduka JF-Expert Member Dec 3, 2008 8,552 2,360 Mar 4, 2011 #2 Mbona uso naona umeonekana kiafrika? au kapaka Kiwi?
AK-47 JF-Expert Member Nov 12, 2009 1,373 199 Mar 4, 2011 #3 Walimpaka makeups nyeusi ilia apate kuonekana muafrika waukweli nadhani ilikua ni project ya jarida fulani hivi
Walimpaka makeups nyeusi ilia apate kuonekana muafrika waukweli nadhani ilikua ni project ya jarida fulani hivi
doup JF-Expert Member Feb 26, 2009 2,346 2,151 Mar 4, 2011 #5 mi naona simjui beyonce, hafanani kabisa kwa sura acha iyo rangi
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Mar 4, 2011 #6 Mi naona its so fake hiyo picha, angeacha kupaka mkorogo (nasikia apaka kojic acid) for a week, a true african skin would have revealed.
Mi naona its so fake hiyo picha, angeacha kupaka mkorogo (nasikia apaka kojic acid) for a week, a true african skin would have revealed.
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,513 11,276 Mar 5, 2011 #7 Kwa hiyo sisi waafrika tunaonekana kama tumepakwa kiwi au?:A S 13:
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Mar 5, 2011 #8 El Toro said: Click to expand... akwende huko ndio maana simpendi!!
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Mar 5, 2011 #9 TANMO said: Kwa hiyo sisi waafrika tunaonekana kama tumepakwa kiwi au?:A S 13: Click to expand... tumia umoja an sio uwingi
TANMO said: Kwa hiyo sisi waafrika tunaonekana kama tumepakwa kiwi au?:A S 13: Click to expand... tumia umoja an sio uwingi