BETWEEN MEN N' WOMEN,WHO CHEAT MORe?

Please sir/madam;
If you want to know who is actually cheating much than her/his partner, I would advice you to try to attempt the following questions....
  1. What really counts as cheating? And among men and women, who normally do those counts?
  2. Under what circumstances a person may cheat? And among men and women, who mostly come across the situations?
If you manage to get the actuall details of those questions, I think you would be in a better position to your answer on who normally cheats much between men and women....!

But, take note that; though trusting a partner is a good attitude, only a fool may do....
 
Tusijifanye kurefusha stori. Wanaume tunachit zaidi banaaa....
 
Hii ishu watu hawaiangalii kwa undani bali hupapasapapasa tu.Ugonjwa unapojitokeza huwezi kuushinda bila kujua chanzo.Ukiona mtu ana homa ukaanza kumpa asprin/panadol tu bila kupima ukajua ni malaria au typhoid unajidanganya.

Pa kuanzia, badala ya kushindanisha nani anatoka zaidi, ingekuwa mimi mwanzisha mada ningeomba watu wajitokeze na kutoa maoni au hata uzoefu wao kuhusu nini kiliwasukuma kutoka nje ya mauhusiano.

Nijuavyo mimi mwanamke kwa kawaida hatoki bila sababu kubwa sana ya msingi.Mwanamke akipata mtu committed hubaki naye bila kupepesa macho nje na wala hatashawishika kirahisi. Nimeongea kama mwanamke. Najua (kwa kuskia) kwamba wanaume hutoka kwa sababu ya tamaa walizo nazo zaidi hata kama wanakuwa na mwanamke committed.Wajisemee wao wenyewe
Ni kweli kabisa hakuna mwanamke anaemua tu kutoka nje bila sababu ila wenzetu wakati mwingine hawana hata sababu
 
Ni kweli kabisa hakuna mwanamke anaemua tu kutoka nje bila sababu
If only that was true!Hamna cha wanawake hawatoki bila sababu wala wanaume wanatoka!Pande zina watu wasiohitaji sababu kufanya madudu yao!
 
Tamaa imeumbwa kwa kila jinsia, ila tuna tofauti katika kutamani kati ya mke na mume. Kuna sababu nyingi za udanganyifu katika ndoa au katika urfiki wa kawaida yote hayo ni maono ya mtenda kati ya kike au kiume. Ki ukweli mimi nimeshaona wanaume na wanawake waongo katika kiwango kibaya sana. Mtu mwingine hana hata sababu ya kudanganya ila tu anaamua kubebana na mtu mwingine pasipohofia kujulikana kwa yanayoendelea kwa mwenzie. Wengine wanatafuta sababu za kuachana vizur wanakosa wanaamua kufanyiana uhuni woa a hivyo ili mmoja aamue kuachia mwenyewe.

Sasa basi mtoa mada hiii, kuna shetani au pepo kaingia vichwani mwa wanawake na wanaume sitaki kusema eti nani zaidi ila naona kama wote tumewehuka kupita kiwango. Kila mmoja ana sababu yake binafsi inayomruhusu kudanganya kwa wakati wake. sasa kulaumu eti mume ni zaidi kuliko mke ni makosa vile vile kwa sababu hatuna evedence ya mambo yanayoendelea kwenye familia hizo mbili au urafiki wa wawili hao.

Tuangalie pia background tunazooa au kuozwa, ni muhimu sana. Unakuta mkeo ni mwenda nje sana kumbe ukifuatilia unakuta ni ukoo mzima wana hiyo tabia kwa hiyo huna treatment kwenye kitu kama hicho ndiyo laana yao hiyo, mwingine unakuta na mwanaume ni hivyo hivyo. Ninachosema hapa wanaume na wanawake etu tujaribu kujiheshimu, angalia sababu zinazokupeleka nje ili urekebishe mkeo au mume mwendelee na maisha mazuri. Kama unaona mkeo ni mgumu kuelewa somo, jaribu kutafuta watu muongee ikishindikana kuliko akutie dhami ya kwenda nje, mpe talaka yake aende ulete yule anayeweza kufanya yote unayotaka. But watch out, kuna wanawake au wanaume wasanii can pretend to do all ili kuwin attention yako mara baada ya kuwekwa ndani basi anakuwa kama yule aliyepita. Ebu tuwe wavumilivu na wacha Mungu. Kufanya marekebisho kwa mtu kutoka familia tofauti na yako inahitaji uvumilivu na maombii, inaweza kuchukua miaka mingi ila kwa sababu ni wako basi vumilia na Mungu ataleta kheri. Kwenda nje ya ndoa siyo sifa kwamba unaweza kueleta GOLD MEDAL nyumbani kwa kulalana na wanaume au wake wengi.

Busara inatakiwa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom