carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
Niletee tu tena mtume shunie aleteNikuletee mma eeehh
Niletee tu tena mtume shunie aleteNikuletee mma eeehh
Shunie na linamo wako wapi leo
Uko vizuri
Wakuje huku bhanaItakuwa wamemaliza kupika cha jioni sasa ni zamu ya vitafunwa vya asubuhi. Lol.


Usilale bhanaa.... Hebu kunywa kiroba kimoja tuende sawaUtanisimulia acha nikalale![]()
Welkam welkaaaam... well whaati?? In Teacher Mpamire "favourate" tone
Utani gani huo wakigaidi?Baby nakutania
HahahaSijaona yale maswali leo.![]()
![]()
Leo kuna kidhungu swahiba. Ila karibu sana.Dah leo nimechelewa sana ndugu yangu ,....ngoja kwanza nipitie post mwanzo mwisho
Linamo ukuje hukuuShunie na linamo wako wapi leo
Acha nikameze dikishonari narudiUsilale bhanaa.... Hebu kunywa kiroba kimoja tuende sawa
Pambana na hali yako bhanaa...wanna
Jamani sijaliona kwenye dikishenari yangu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sijui kajichimbia wapi leo. Ila ana mida yake.Linamo ukuje hukuu
Nilitaka kuona unanipenda kiasi ganiUtani gani huo wakigaidi?
HahHe should find a good dictionary or ask help from google spelling of kibamia and tango in english. Sex styles,how many per day or week. favourite kiss etc
Sijaona yale maswali leo.![]()
![]()