Mkuu nina Xbox 360 nauza na games zake kibao ...kama utahitaji nicheki
Call Of Duty 3 sio fupi Mkuu, sema Game ni tamu sana kiasi cha kwamba unatamani uendelee kuicheza, tafuta hiyo modern warfare 4 uendelee japo hiyo ndiyo fupi zaidi.Jamani hii call of duty MW3 mbona fupi sana yani kwny mission inaishia 50% game limeisha pale unapomuua makorov...jamaa wameniudhi sn
Bora nisidownload tu...yani game unacheza cku 2 imeishaCall Of Duty 3 sio fupi Mkuu, sema Game ni tamu sana kiasi cha kwamba unatamani uendelee kuicheza, tafuta hiyo modern warfare 4 uendelee japo hiyo ndiyo fupi zaidi.
Afu ina gb ngapi?Bora nisidownload tu...yani game unacheza cku 2 imeisha
Mimi yangu ina kama 5 hivi, sijui ya huyo jamaa.Afu ina gb ngapi?
Inawezekana unacheza recruit sogea kwenye regular utaona urefu wakeCall Of Duty 3 sio fupi Mkuu, sema Game ni tamu sana kiasi cha kwamba unatamani uendelee kuicheza, tafuta hiyo modern warfare 4 uendelee japo hiyo ndiyo fupi zaidi.
Ha ha ha ha mimi nacheza regular mkuu.Inawezekana unacheza recruit sogea kwenye regular utaona urefu wake
Mkuu unauza bei gani .....pia kama unaujuzi nina Xbox 360 ila haina HD inakataa kuplay original cdMkuu nina Xbox 360 nauza na games zake kibao ...kama utahitaji nicheki
Mkuu Xbox 360 zipo tatu na games kama 50 hivi nauza zote 1.5m na game zote hizo.kuhusu hio yako kutosoma cd original inaweza kukuta kuna shida kwenye sensorMkuu unauza bei gani .....pia kama unaujuzi nina Xbox 360 ila haina HD inakataa kuplay original cd
5.2 gbAfu ina gb ngapi?
Mkuu unafananisha battlefield na resident evil hayo mazombie? Tutake radhi wazee wa cod na BfDah wadau kuna bonge la Game linaitwa Resident Evil Revelations hili game ni funika yote Battlefield
Call of duty yaani hilo game liko kama unacheza kwa episodes mimi nimeishia ep 2 ep 3 inatoka mwaka huu
Ilo game nalikubali sana yani
Yap coz resident evil ni bonge la gameMkuu unafananisha battlefield na resident evil hayo mazombie? Tutake radhi wazee wa cod na Bf
Huku ni kuwatukana Activision na EA kw kweli.Mkuu unafananisha battlefield na resident evil hayo mazombie? Tutake radhi wazee wa cod na Bf
Ndio maana nimemwambia atuombe radhi...nafkiri atakua mgeni wa CODHuku ni kuwatukana Activision na EA kw kweli.
Si hivyo unavyodhani COD nimecheza sana akina Caaptain Price Gen Shepherd Soap macTavishNdio maana nimemwambia atuombe radhi...nafkiri atakua mgeni wa COD
Mkuu masiara hayo CODMW4 kwa zuma hahaahaaa
Alaf naona call of duty MW2 ni kali Kushida MW4
mkuu mimi ninalo nimedownloa ila halichezi naona spc za computer yangu ni ndogo, naona watu wengi wanalisifia sanaDah wadau kuna bonge la Game linaitwa Resident Evil Revelations hili game ni funika yote Battlefield
Call of duty yaani hilo game liko kama unacheza kwa episodes mimi nimeishia ep 2 ep 3 inatoka mwaka huu
Ilo game nalikubali sana yani
Wewe resident evil ipi, me mwenyewe ninalo resident evil 5. Computer inameet minimum system requarement lakini limegoma.mkuu mimi ninalo nimedownloa ila halichezi naona spc za computer yangu ni ndogo, naona watu wengi wanalisifia sana