Ni kweli ulichokiongea lakini kunaujumbe kaulenga hapo. Ndio watu wanataka hilo fumbo lifumbuliweImetokea ajali mbaya Sanaa ya gari.
Kwa Mawazo na akili za trafic ni kwamba dereva wa hiyo Gari amefariki (maiti)
Sasa akiwa katika kuchukua maelezo.
Anamuuliza huyo jamaa (Pasipo kujua kama yeye ndiye dereva)
Kuwa dereva/Maiti wameshaitoa?
Ndipo mchukuliwa maelezo ambaye ni dereva akamjibu ndiyo mimi Hapa afande.
Kutokana na mambo yalivyokuwa yanaendelea tuliaminishwa upinzani umekufa sasa cha ajabu bado upoNi kweli ulichokiongea lakini kunaujumbe kaulenga hapo. Ndio watu wanataka hilo fumbo lifumbuliwe
Hapo nmekusoma. Upinzani hauwezi toweka kirahisi hvyoKutokana na mambo yalivyokuwa yanaendelea tuliaminishwa upinzani umekufa sasa cha ajabu bado upo
Na anaonekana ni Mbowehapo nmekusoma. Upinzani hauwezi toweka kirahisi hvyo
Jiwe sucks!hapo nmekusoma. Upinzani hauwezi toweka kirahisi hvyo
You sound goodKutokana na mambo yalivyokuwa yanaendelea tuliaminishwa upinzani umekufa sasa cha ajabu bado upo