Best 20 Smart Phones


True kaka xiaomi Mi3 au OPPO N1 huwezi linganisha na hizo plastics za samsng
 
Huyo ilitakiwa kumuelewesha kama hivi:

"Kilaza ivibration umekosea kuandika (siku nyingine uwe una copy na ku paste kama huwezi kuandika bila kuwaza kugongewa"

Hiyo namba 12 ni Samsung galaxy note 2 na sio S 2



Fanyen kama hivo atawaelewa, Mtu mwenyewe anatokea Mombasa huwezi jua
 

sante kaka
 

hahahahahaaah napita tu jaman
 

data za lin hizo mkuu?
 
Kakosea halafu mkali hataki kosolewa

Huyo mwachen hajui ubora na mpangilio wa simu yeye anajua majina tuu Kama huawei p6 ni simu bora sana na wametoa huawei p6 c00 ni hatar sasa sijui jamaa kaipata wapi list hiyo au ya mbeya city hiyo list
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ