sasa mbona inakuwa mkuku mkuku hivyo? polisi wetu hawa mbona hawana staha jamani? watu wenye majina makubwa kama hao hata ukiwaita kwa simu tu wanakuja weyewe kituoni, sasa ya nini ubabe wote huu?
anaonekana kama kijana hivi, tofauti na nilivyokuwa natarajia, sijawahi kuona picha zake before. looks like alikuwa chimbo hivi sio.
ni nani jamani huyu mtu?sijamsikia
so sad, yaani jamaa wanamwandama sana.