NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,752
- 49,649
mtu huyu anaonekana muhimu yaani hata kumwacha akae kwenye cabin, na ameumia mkono, maguvuguvu tuu wanamlazimisha angate bodi, du, waafrika kweli noma, hasa hao polisi siku huyo akwa kiongzi watakuaje?