usiumize kichwa mkuu huu mchezo unaitwa "zunguluka tuonane" wanauelewa sana ccm ....Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa.
Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine...