Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa.
Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine...
Umeandika ukweli mtupu. Wanajidanganya. Ataishia Kulia mwenyewe kama mtoto mdogo. System aliyoitumikia miaka yote na kuitetea sababu ilibeba malengo yake, imebadilisha gia juu kwa juu. Asipoangalia itamsambaratisha mazima