Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,667
- 26,121
Wanyoa vipara wako juzi uliwaingia vizuri tu.Akishapanua halafu MKUYENGE unaingia...!
Wanyoa vipara wako juzi uliwaingia vizuri tu.Akishapanua halafu MKUYENGE unaingia...!
View attachment 1388937
"Tulikuwa chipukizi wa chama cha mapinduzi,tukakulia humo,tukasomea humo hatimaye tukaja kuitumikia serekali hiyo hiyo ya chama kilichotukuza kwa weledi na upendo mkubwa,kwa diplomasia makini,kitu kilichosababisha viongozi wa kuu wa dunia kuomba kuja kutembelea taifa letu na kujifunza mambo mbalimbali.
"DIPLOMASIA YA NJE MAKINI"
"NI NGUMU KUIPATA TIJA STAHILI YA KIUCHUMI BILA UWAPO WA DIPLOMASIA YA NJE MAKINI.
*KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.*
An epitome of notorious egotist.Jiwe alifeli toka mwanzo kwenye Diplomasia,uchumi, ajira, na freedom of speech never na hawezi kubadilika labda aondoke.
Tatizo ubishi ujuaji na kiburi anafikiri kemia ndio inaweza kuongoza nchi.
Tungekuwa na idara makini za kiusalama uyu angekuwa yupo chato under security ili kuokoa usalama wa nchi ila kwa vile hawajui maana ya usalama watakuja kuanza kuchukuliwa hatua wao baada ya dicteta kuwatumia na kuwachoka.
Jiwe alifeli toka mwanzo kwenye Diplomasia,uchumi, ajira, na freedom of speech never na hawezi kubadilika labda aondoke.
Tatizo ubishi ujuaji na kiburi anafikiri kemia ndio inaweza kuongoza nchi.
Tungekuwa na idara makini za kiusalama uyu angekuwa yupo chato under security ili kuokoa usalama wa nchi ila kwa vile hawajui maana ya usalama watakuja kuanza kuchukuliwa hatua wao baada ya dicteta kuwatumia na kuwachoka.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Hilo linafanya kazi kwa nchi zisizo na kitu.
Sisi tuna rasilimali nyingi diplomasia sio lazima.
Ila ukimwongelea mwalimu Nyerere utampamba alikuwa kiongozi bora?Kwa Tanzania mtu kuwa mwalimu maana yake alifeli either masomo yake ya kidato cha nne au cha sita,kwa hiyo Magufuli hajaanza kufeli Leo bali kufeli ni sehemu ya maisha yake,ndo maana Mambo ya familia yeye anatumia resources za serikali au chama kuzifanya,hiyo ikuoneshe tu kwamba huyu ni failure na hajui hiki ni kipi na kifanyike vipi,kwenye mkutano wa kiserikali utamuona yeye analeta Mambo ya ccm.yaani ni vurugu tu.sema tu nchi hii ina bahati mbaya haina watu ndo maana unaweza ona idara zetu nyeti zikivumilia ujinga wake
In short huko chipukiz mlikochipukia mmechipuka kama magugumaj ya mabwawa ya mavi ya chuo kikuu cha mzumbe tu,patheticView attachment 1388937
"Tulikuwa chipukizi wa chama cha mapinduzi,tukakulia humo,tukasomea humo hatimaye tukaja kuitumikia serekali hiyo hiyo ya chama kilichotukuza kwa weledi na upendo mkubwa,kwa diplomasia makini,kitu kilichosababisha viongozi wa kuu wa dunia kuomba kuja kutembelea taifa letu na kujifunza mambo mbalimbali.
"DIPLOMASIA YA NJE MAKINI"
"NI NGUMU KUIPATA TIJA STAHILI YA KIUCHUMI BILA UWAPO WA DIPLOMASIA YA NJE MAKINI.
*KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.*
Yo talkin abt dowansDiplomasia ya Richmond-> Dowans mpaka ile mitambo ikaja kununuliwa na akina Obama wakatuwekea majanireta yao yakifisadi ili wawe wanatuvuna tu! Ile kampun nimeisahau jina tu aliyokuja kufungua Obama!
Akaja Xi-Jiping toka china aliporudi akarudi na twiga wetu kwao! Kweli Membe ulikuwa mwanadiplomasia mmbebezi ulieta viongozi wakubwa duniani!
Umeonaee. Wanalazimisha kumnasibisha na CCM wakati aliishafukuzwa. Wamchukue wao awe mshauri wao wa Diplomasia ya Nje. CCM haimtaki! Lakini ajabu hata wao hawamtaki!Huyu zilipendwa ,waliingia mikataba mibovu sana ya kifisadi
Ajiunge chama kingine adumishe hiyo diplomasia nyonyaji
View attachment 1388937
"Tulikuwa chipukizi wa chama cha mapinduzi,tukakulia humo,tukasomea humo hatimaye tukaja kuitumikia serekali hiyo hiyo ya chama kilichotukuza kwa weledi na upendo mkubwa,kwa diplomasia makini,kitu kilichosababisha viongozi wa kuu wa dunia kuomba kuja kutembelea taifa letu na kujifunza mambo mbalimbali.
"DIPLOMASIA YA NJE MAKINI"
"NI NGUMU KUIPATA TIJA STAHILI YA KIUCHUMI BILA UWAPO WA DIPLOMASIA YA NJE MAKINI.
*KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.*
Mnafiki sana, alikuwepo km waziri wa mambo ya nje, kwa miaka 8 sikuona cha maana alichofanya tofauti kujipambanua na hao CCMwa leo hii.View attachment 1388937
"Tulikuwa chipukizi wa chama cha mapinduzi,tukakulia humo,tukasomea humo hatimaye tukaja kuitumikia serekali hiyo hiyo ya chama kilichotukuza kwa weledi na upendo mkubwa,kwa diplomasia makini,kitu kilichosababisha viongozi wa kuu wa dunia kuomba kuja kutembelea taifa letu na kujifunza mambo mbalimbali.
"DIPLOMASIA YA NJE MAKINI"
"NI NGUMU KUIPATA TIJA STAHILI YA KIUCHUMI BILA UWAPO WA DIPLOMASIA YA NJE MAKINI.
*KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.*
Akiwa Waziri wa mambo ya nchi za nje Obama alikuja Tanzania, Clinton, Bush hataMnafiki sana, alikuwepo km waziri wa mambo ya nje, kwa miaka 8 sikuona cha maana alichofanya tofauti kujipambanua na hao CCMwa leo hii.
Anataka urais leo ndiyo anatambua hayo SHUBAMITI ZAKE.
Sent using Jamii Forums mobile app