Bentley Bentayga, Range Rover Killer!

Bentley Bentayga, Range Rover Killer!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Kampuni ya Volkswagen (VW) ambayo ndiyo Kampuni ya pili kwa Ukubwa Duniani baada ya Toyota kwa uundaji wa magari wanakuja aina Mpya kabisa ya gari aina ya Bentley Bentayga ambayo ndiyo itakuwa mshindani Mkubwa wa Range Rover ambaye mpaka sasa hivi amekuwa kama vile hana mshindani kwenye medani za SUV!
VW watazindua Bentley Bentayga hapo mwezi Septemba 2015!

Hizo picha ni concept tu ya jinsi labda itakavyokuwa kwani mpaka sasa hivi hakuna aliyeiona hiyo mashine ya Ukweli!


concept.jpg





mambohayo.jpg
 
Duh! Huyo mnyama anauzwa $ mamilioni mangapi?
 
So far hiyo ni kama cross over au mini SUV kama za Subaru Forester, Honda CRV au Porsche Macan. Hii bentley iweke kundi hili.

Unapoongelea Range Rover unaongelea Luxury levels za Rolls Royce, interms of power hata VX V8, Nissan Patrol au Chevrolet Suburban ni cha mtoto kwa Range Rover.

Range Rover is a combination of power and comfort. Kulinganisha na hyo Bentley hapo ni matusi makubwa sana.

Hata jamii za Land Rover hiyo gari haiwezi kuingia, huwezi ilinganisha na Evoque, Discoveries, Range Sport, Freelander.
 
So far hiyo ni kama cross over au mini SUV kama za Subaru Forester, Honda CRV au Porsche Macan. Hii bentley iweke kundi hili.

Unapoongelea Range Rover unaongelea Luxury levels za Rolls Royce, interms of power hata VX V8, Nissan Patrol au Chevrolet Suburban ni cha mtoto kwa Range Rover.

Range Rover is a combination of power and comfort. Kulinganisha na hyo Bentley hapo ni matusi makubwa sana.

ha ha ha ha ha mkuu umeandika kwa hisia unaonekana unapenda sana magari hata mimi nimeona iyo ngoma haingii kwa range rover.Range rover mziki mwingine aisee kwanza AC yake tu huisikii kulia vuuu iko kimyaaa unaisikia kwenye ngozi tu alafu ukute siti ni ngozi da utaipenda
 
So far hiyo ni kama cross over au mini SUV kama za Subaru Forester, Honda CRV au Porsche Macan. Hii bentley iweke kundi hili.

Unapoongelea Range Rover unaongelea Luxury levels za Rolls Royce, interms of power hata VX V8, Nissan Patrol au Chevrolet Suburban ni cha mtoto kwa Range Rover.

Range Rover is a combination of power and comfort. Kulinganisha na hyo Bentley hapo ni matusi makubwa sana.

Hata jamii za Land Rover hiyo gari haiwezi kuingia, huwezi ilinganisha na Evoque, Discoveries, Range Sport, Freelander.


Duh! wewe mshikaji Gari hata haijatoka umeshakuja na majumuisho? hayo yote uliyoyaongelea umeyapata wapi?
 
ha ha ha ha ha mkuu umeandika kwa hisia unanekana unapenda sana magari hata mimi nimeonda iyo ngoma haingii kwa range rover.Range rover mziki mwingine aisee kwanza AC yake tu huisikii kulia vuuu iko kimyaaa unaisikia kwenye ngozi tu alafu ukute siti ni ngozi da utaipenda

Hahaha kaka its my dream car. I want a brand new one tena ikiwezekana 2017 wakitoa toleo lao niiweke ndani.

Haya magari yapo kwenye class ya aina yake, na performance wise haya magari ni haya mfano kwa jamii ya magari hayo.

Hyo bentley ni kuiweka levels za kina subaru forester kwasababu hata albd cruiser LX ni level nyingine kabisa kwa hyo gari.
 
Duh! wewe mshikaji Gari hata haijatoka umeshakuja na majumuisho? hayo yote uliyoyaongelea umeyapata wapi?

Nina uhakika haitafikia hizo levels kaka. Na hata appearance inaonekana wazi ni mini SUV
 
ha ha ha ha ha mkuu umeandika kwa hisia unaonekana unapenda sana magari hata mimi nimeona iyo ngoma haingii kwa range rover.Range rover mziki mwingine aisee kwanza AC yake tu huisikii kulia vuuu iko kimyaaa unaisikia kwenye ngozi tu alafu ukute siti ni ngozi da utaipenda

Bulldog huwa Namkubali sana kwenye kujua na kuchambua magari kama haya....hehehehe
 
Ni hivi. Hiyo Bentley haitakaa iweze kuichallenge Range Rover.

Mbona unarudia yale yale vunguka kivipi? Nimekuuliza hiyo level ya Range rover ambayo Bentley haitifikia ni ipi?
 
Kampuni ya Volkswagen (VW) ambayo ndiyo Kampuni ya pili kwa Ukubwa Duniani baada ya Toyota kwa uundaji wa magari wanakuja aina Mpya kabisa ya gari aina ya Bentley Bentayga ambayo ndiyo itakuwa mshindani Mkubwa wa Range Rover ambaye mpaka sasa hivi amekuwa kama vile hana mshindani kwenye medani za SUV!
VW watazindua Bentley Bentayga hapo mwezi Septemba 2015!

Hizo picha ni concept tu ya jinsi labda itakavyokuwa kwani mpaka sasa hivi hakuna aliyeiona hiyo mashine ya Ukweli!

Bentley should stick to their flagship luxury executive big saloons i.e Arnage,Azzure,Fying Spur and sporty Continental....! But in SUV market they will flop!
 
Back
Top Bottom