Beno kajitoa ubunge EAC, Sasa Millya na Bashe kupelekwa

Ni jambo la hatari sana kuchagua mtu anayetakiwa kusimamia interest za nchi kwenye regional block and beyond kwa ushabiki.Watu wa aina hiyo ni maadui wa Taifa hili.....ningeweza kutunga sheria ya kuwafunga jela maisha wanaotaka ku-compromise national Interests ningefanya hivyo.

Tufikie mahala tumchague mtu wa aina hiyo on merits.Interest za vijana wa Tanzania au generation ya sasa and beyond ndani ya EAC,Africa na duniani iko at stake.Tunahitaji uwakilishi uliotukuka kulinda maslahi ya Tanzania,jumuiya na Africa kwa ujumla.Tukiwa na watu wanaopelekwa kishabiki au kwa maslahi ya wachache basi watu hao hawafai kwani watakuwa watu wa kwanza kutusaliti na hata kununuliwa na maadui wa Africa hasa mabeberu ili kulinda maslahi ya mabeberu.

Kuna wagombea ambao walishindwa kwa nafasi zao kutetea maslahi ya vijana lakini wanataka nafasi ambazo ni more complex.Hebu tuwe serious sasa.Kuna watu kwa nafasi zao wameshindwa kutetea kuanzishwa baraza huru la vijana ndani ya mipaka ya Tanzania lakini wanataka watetee maslahi ya vijana na taifa kwa ujumla nje ya mipaka ya Tanzania.

Tunahitaji watu wenye uelewa na wenye uwezo wa kutoa mawazo mapana at global perspective kuhusiana na interests zetu.Lengo la Intergration ni kuleta harmonization ya resources kwa maslahi ya member states na wanananchi wake kwa kuzingatia demographic composition.Ni lazima tuwe makini ili tusilundikwe kwenye kapu moja kimkakati na maadui wa Africa kwa jina la Muungano au jumuiya.Kuna mapungufu makubwa kwenye itifaki hii ya EAC tulishasema hapa sana miaka miwili iliyopita.Wabunge wa Tanzania EAC hatujui wanasimamia nini.Ofcourse inaeleweka kwamba kwenye regiona intergration ni lazima kila mmoja ajitoe sadaka kwa ajili ya wote na kuwekeza kwenye fursa zilizopo kwa faida zaidi(comparatively),but Tanzania as a determined member state should burgain,ni lazima tuwe na lion share kwenye EAC interms of distribution of resources.Nothing more nothing less !

Nawasihi chama cha mapinduzi,vyama mbadala na makundi ndani ya vyma hivyo tuache mzaha na suala nyeti kama hili..
 
huu mfumo wa uwakilishi kupitia vyama vya siasa unaweza kupata watu vimeo wanaenda kule kugonga meza na " Yes Yes" kibao bila hata kujenga hoja nzito (za msingi) kwa mustakabali wa taifa letu.

Position kama hizi zinatakiwa zitangazwe watu wenye mi akili yetu tu-apply tupate hizi kazi tukawawakilishe ki-uhakika. Watanzania mkiendekeza hizi siasa zetu hamtakaa msonge mbele - Rwanda na Kenya wanayeya hao. Siasa ikifikia kuwa ushabiki shabiki na makundi makundi msitegemee kama kuna siku siku mtaijenga hii nchi yenu.
 
Ni jambo la hatari sana kuchagua mtu anayetakiwa kusimamia interest za nchi kwenye regional block and beyond kwa ushabiki.Watu wa aina hiyo ni maadui wa Taifa hili.....ningeweza kutunga sheria ya kuwafunga jela maisha wanaotaka ku-compromise national Interests ningefanya hivyo.

Tufikie mahala tumchague mtu wa aina hiyo on merits.Interest za vijana wa Tanzania au generation ya sasa and beyond ndani ya EAC,Africa na duniani iko at stake.Tunahitaji uwakilishi uliotukuka kulinda maslahi ya Tanzania,jumuiya na Africa kwa ujumla.Tukiwa na watu wanaopelekwa kishabiki au kwa maslahi ya wachache basi watu hao hawafai kwani watakuwa watu wa kwanza kutusaliti na hata kununuliwa na maadui wa Africa hasa mabeberu ili kulinda maslahi ya mabeberu.

Kuna wagombea ambao walishindwa kwa nafasi zao kutetea maslahi ya vijana lakini wanataka nafasi ambazo ni more complex.Hebu tuwe serious sasa.Kuna watu kwa nafasi zao wameshindwa kutetea kuanzishwa baraza huru la vijana ndani ya mipaka ya Tanzania lakini wanataka watetee maslahi ya vijana na taifa kwa ujumla nje ya mipaka ya Tanzania.

Tunahitaji watu wenye uelewa na wenye uwezo wa kutoa mawazo mapana at global perspective kuhusiana na interests zetu.Lengo la Intergration ni kuleta harmonization ya resources kwa maslahi ya member states na wanananchi wake kwa kuzingatia demographic composition.Ni lazima tuwe makini ili tusilundikwe kwenye kapu moja kimkakati na maadui wa Africa kwa jina la Muungano au jumuiya.Kuna mapungufu makubwa kwenye itifaki hii ya EAC tulishasema hapa sana miaka miwili iliyopita.Wabunge wa Tanzania EAC hatujui wanasimamia nini.Ofcourse inaeleweka kwamba kwenye regiona intergration ni lazima kila mmoja ajitoe sadaka kwa ajili ya wote na kuwekeza kwenye fursa zilizopo kwa faida zaidi(comparatively),but Tanzania as a determined member state should burgain,ni lazima tuwe na lion share kwenye EAC interms of distribution of resources.Nothing more nothing less !

Nawasihi chama cha mapinduzi,vyama mbadala na makundi ndani ya vyma hivyo tuache mzaha na suala nyeti kama hili..
Nikiongezea hapo Mkuu elimu ya mtuu vile vile iwe yard stick kumchagua, tuache ushabiki swala EAC ni very crucial hasa pale wenzetu yaani Partiner States wanapo ngangania swala la ku fast track EAC Integration. Wanatakiwa wabunge makini wenye uzalendo wa Kitanzania moyoni sio mladi watu kwa interest za watu fulani fulani!!!! Tena naomba Mheshimiwa Raisi kwa kutumia vyombo vya dola kuvet na kupata cream iliyo bora ichaguliwe kwa ajili ya maslahi ya nchi yetu kwenye bunge hili la ushindani!!!!!

 
Nikiongezea hapo Mkuu elimu ya mtuu vile vile iwe yard stick kumchagua, tuache ushabiki swala EAC ni very crucial hasa pale wenzetu yaani Partiner States wanapo ngangania swala la ku fast track EAC Integration. Wanatakiwa wabunge makini wenye uzalendo wa Kitanzania moyoni sio mladi watu kwa interest za watu fulani fulani!!!! Tena naomba Mheshimiwa Raisi kwa kutumia vyombo vya dola kuvet na kupata cream iliyo bora ichaguliwe kwa ajili ya maslahi ya nchi yetu kwenye bunge hili la ushindani!!!!!


Hakuna taifa lenye masikhara kama Tanzania linapokuja swala la National Interests
 
Ni jambo la hatari sana kuchagua mtu anayetakiwa kusimamia interest za nchi kwenye regional block and beyond kwa ushabiki.Watu wa aina hiyo ni maadui wa Taifa hili.....ningeweza kutunga sheria ya kuwafunga jela maisha wanaotaka ku-compromise national Interests ningefanya hivyo.

Tufikie mahala tumchague mtu wa aina hiyo on merits.Interest za vijana wa Tanzania au generation ya sasa and beyond ndani ya EAC,Africa na duniani iko at stake.Tunahitaji uwakilishi uliotukuka kulinda maslahi ya Tanzania,jumuiya na Africa kwa ujumla.Tukiwa na watu wanaopelekwa kishabiki au kwa maslahi ya wachache basi watu hao hawafai kwani watakuwa watu wa kwanza kutusaliti na hata kununuliwa na maadui wa Africa hasa mabeberu ili kulinda maslahi ya mabeberu.

Kuna wagombea ambao walishindwa kwa nafasi zao kutetea maslahi ya vijana lakini wanataka nafasi ambazo ni more complex.Hebu tuwe serious sasa.Kuna watu kwa nafasi zao wameshindwa kutetea kuanzishwa baraza huru la vijana ndani ya mipaka ya Tanzania lakini wanataka watetee maslahi ya vijana na taifa kwa ujumla nje ya mipaka ya Tanzania.

Tunahitaji watu wenye uelewa na wenye uwezo wa kutoa mawazo mapana at global perspective kuhusiana na interests zetu.Lengo la Intergration ni kuleta harmonization ya resources kwa maslahi ya member states na wanananchi wake kwa kuzingatia demographic composition.Ni lazima tuwe makini ili tusilundikwe kwenye kapu moja kimkakati na maadui wa Africa kwa jina la Muungano au jumuiya.Kuna mapungufu makubwa kwenye itifaki hii ya EAC tulishasema hapa sana miaka miwili iliyopita.Wabunge wa Tanzania EAC hatujui wanasimamia nini.Ofcourse inaeleweka kwamba kwenye regiona intergration ni lazima kila mmoja ajitoe sadaka kwa ajili ya wote na kuwekeza kwenye fursa zilizopo kwa faida zaidi(comparatively),but Tanzania as a determined member state should burgain,ni lazima tuwe na lion share kwenye EAC interms of distribution of resources.Nothing more nothing less !

Nawasihi chama cha mapinduzi,vyama mbadala na makundi ndani ya vyma hivyo tuache mzaha na suala nyeti kama hili..

Kama tuliweza kumteua mtu aliyekataliwa na wanajimbo wake kama mbunge wao kuwa balozi wetu Nairobi, kama tumeweza kumteua mwanasiasa Phillip Marmo kuwa balozi wetu in the second most powerful country in the world (China), ndio tutashindwa kuwapeleka hao vijana kuwa wabunge wetu EAC?
 
Back
Top Bottom