Mohamed Ibrahim
Member
- Jan 21, 2012
- 49
- 8
Baada ya kamanda mkuu wa Lowasa na mwanaye Fred maarufu ndani ya UVCCM kwa jina Uday (mtoto wa Saddam) kwenda na kijana wao Bashe Dodoma wakati wa bunge, kujaribu kupiga kampeni ya kumsaidia Benno malisa aungwe mkono na vijana wa CCM wabunge kugonga mwamba, hatimaye maelekezo yametoka kwamba Benno ajitoe mara moja na nafasi yake ndani ya kundi lao itachukuliwa na Bashe na Millya.
kwa maana hiyo wagombea wapya wa kundi la Edward Lowasa ni Hussein Bashe na Millya
kwa maana hiyo wagombea wapya wa kundi la Edward Lowasa ni Hussein Bashe na Millya