Hapo kwenye red: Beno Malisa anasema nini? Nji yoyote maana yake nini? Igunda wamepotea watu, Arumeru wamechinjwa, wabunge wa CHADEMA wamevamiwa huko Mwanza. Je, wananchi wa Tanzania waendelee kuamini kuwa serikali ya CCM bado inayo nia na dhamira ya kutunza amani nchini? Usalama wa raia na mali zao ukoje?
Malissa the Bogus Youth Wing President in the word
Hivi tuwe wakweli, tulitegemea Benno aisifie chadema?
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.
Source:Mwananchi
aisee.... nadhani ukisoma tena hii post hutaielewawewe si hawa wafuasi wa vinega mbona tumeshawazoea,walitumia muda mwingi kujaribu kutaka eti katibu muenezi wa ccm aeneze sera za chadema,kabla hajaikwaa nafasi ya uenezi alikua kipenzi cha wana chadema wakimwita kijana makini,nongwa ikaja alipopata uenezi wa ccm wao wakitegemea atafanya kazi za chadema,kuwa tofauti ndio ugomvi mkubwa wa kumtukana ukaanza mpaka leo hawamuachii na yeye kwa kuwa ni nunda hajali na hawaachii anaendelea kuwapulizia vuvuzela lake masikioni
Hili chama zee lina matatizo, kila siku wanaamrishwa wajibu mapigo, ujumbe huwa haufiki au wanaogopa?
Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.
Source:Mwananchi
Huyu si ndio yule rafiki mkubwa na kipenzi cha mwanachadema JAMES OLE MILLYA???!
Naanza kumuona SHIBUDA mpya anvyotengenezwa na chadema wenyewe halafu baadae yakiwafika wataisingizia ccm.Chadema acheni style ya kuchukua makombo yaliyoapikwa na ccm,mtaendelea kulia kila siku kwa style hiyo.
wewe si hawa wafuasi wa vinega mbona tumeshawazoea,walitumia muda mwingi kujaribu kutaka eti katibu muenezi wa ccm aeneze sera za chadema,kabla hajaikwaa nafasi ya uenezi alikua kipenzi cha wana chadema wakimwita kijana makini,nongwa ikaja alipopata uenezi wa ccm wao wakitegemea atafanya kazi za chadema,kuwa tofauti ndio ugomvi mkubwa wa kumtukana ukaanza mpaka leo hawamuachii na yeye kwa kuwa ni nunda hajali na hawaachii anaendelea kuwapulizia vuvuzela lake masikioni
Malisa yupo ndani ya "black box" so let him dig the grave of CCM
Uvumilivu wa Malisa ndio umefika mwisho. Sasa kwanini kuwalazimisha na vijana wengine wafanye kadiri ya uvumilivu wake?Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.
Source:Mwananchi