Benki zimeongeza tozo tena. Hii nchi inapoelekea ni kugumu sana, wanyonge tunazidi kunyongwa

je parle

JF-Expert Member
Nov 28, 2018
1,880
3,618
Nimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku.

Nilikuwa tu natoa hela kwenye ATM ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila Maelezo, Bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye ATM kufika elfu 6 na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa hadi uende kwa wakala

Binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni Serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake.

Nimeumia sana kukatwa elfu sita, haya ndio matumizi yangu ya siku. Mwaka 2025 mimi na Familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwani.
 
Tozonia!
Kwa bahati mbaya serikali (rais) anayo mamlaka ya kupanga na kupangua lolote bila yeyote kuzuia..

Tunaposema tunahitaji katiba mpya muwe mnaelewa mapema, msidhani tunataka madaraka, hapana. Ni kwa ajili yetu na wajukuu wajao

OK! Tozo zinaongezwa kimyakimya kila mwezi, na hii inafanywa ili kupunguza kelele maana wengi hawajui nin kinafanya gharama za bidhaa kupanda kila siku.
Wanatujibu tu SOKO LA DUNIA na wanajua wabonge wengi majuha, wajinga, hatujielewi na tunawaamini mno WanaCCM, so wanacheza na ufinyu wa mind zetu

Pole
 
Tozonia!
Kwa bahati mbaya serikali (rais) anayo mamlaka ya kupanga na kupangua lolote bila yeyote kuzuia..

Tunaposema tunahitaji katiba mpya muwe mnaelewa mapema, msidhani tunataka madaraka, hapana. Ni kwa ajili yetu na wajukuu wajao

OK! Tozo zinaongezwa kimyakimya kila mwezi, na hii inafanywa ili kupunguza kelele maana wengi hawajui nin kinafanya gharama za bidhaa kupanda kila siku.
Wanatujibu tu SOKO LA DUNIA na wanajua wabonge wengi majuha, wajinga, hatujielewi na tunawaamini mno WanaCCM, so wanacheza na ufinyu wa mind zetu

Pole
Kwa hiyo katiba mpya ndo itapunguza tozo?
 
Nimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku.nilikuwa tu natoa hela kwenye atm ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila maelezo .bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye atm kufika elfu 6.na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa.hadi uende kwa wakala.binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake.nimeumia sana kukatwa elfu sita .haya ndio matumizi yangu ya siku .mwaka 2025 mimi na familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwan

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Mswahili ni ngumu sana kuelewa unategemea ccm waibe kura kisha wakuondole tozo Kero uishi Kama uko peponi utafikiri uliwachagua
 
Mswahili ni ngumu sana kuelewa unategemea ccm waibe kura kisha wakuondole tozo Kero uishi Kama uko peponi utafikiri uliwachagua
Hii nchi wa kulaumiwa ni askari ndio wanapambana viongozi kuingia madarakan alafu mambo yakiharibika tunalalamika wote mtaani.usikute kuna askar kaongeza kura kwenye sanduku na yeye analalamika makato kwenye atm.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Nimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku. Nilikuwa tu natoa hela kwenye ATM ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila Maelezo, Bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye ATM kufika elfu 6.na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa hadi uende kwa wakala

Binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni Serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake. Nimeumia sana kukatwa elfu sita, haya ndio matumizi yangu ya siku. Mwaka 2025 mimi na Familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwani

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
daah hii sirikali ya hangaya Ni ya HOVYO sana wananchi
 
Nimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku. Nilikuwa tu natoa hela kwenye ATM ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila Maelezo, Bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye ATM kufika elfu 6.na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa hadi uende kwa wakala

Binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni Serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake. Nimeumia sana kukatwa elfu sita, haya ndio matumizi yangu ya siku. Mwaka 2025 mimi na Familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwani

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Mpaka mtakapojua kutofautisha msalaba na jumlisha shenz taipu😅
 
Rejea nukuu za katibu msemaji wetu wakujitegemea na muenezi wa Daraja letu la wanyonge Tanzania (OLCT: Oppressed Lower Class of Tanzania). Maneno yake si ya kupuuza hata kidogo. Ndugu yetu, Polepole, ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom