FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Mimi nilituma jana kutoka CRDB kwenda Airtel Money 60,000 wakakata almost elfu 7..Nme shtuka jana kuangalia salio crdb wanakata elfu 3 iwe ATM au kwa wakala
Mimi nilituma jana kutoka CRDB kwenda Airtel Money 60,000 wakakata almost elfu 7..Nme shtuka jana kuangalia salio crdb wanakata elfu 3 iwe ATM au kwa wakala
Mkuu nina PHD ya nurseryHuna akili wewe, hujui kwamba KATIBA MPYA itazuia Rais na serikali yake kuamua lolote watakalo pasipo kushirikisha Wananchi wote? Una "ilimu" gani Mkuu?
Eti "mbona na Marekani"..Mkuu nina PHD ya nursery
Kwani nchi gani duniani ina katiba bora! Mbona na Marekani wanapingana na katiba yao wanalalamika kwa nini Rais kapeleka jeshi nje ya nchi bila ridhaa ya wananchi, acha ujinga wewe
Nme shtuka jana kuangalia salio crdb wanakata elfu 3 iwe ATM au kwa wakala
Marekani wanatupa hovyo maiti kwenye viroba? Ficha upumbavu wako aisee.Mkuu nina PHD ya nursery
Kwani nchi gani duniani ina katiba bora! Mbona na Marekani wanapingana na katiba yao wanalalamika kwa nini Rais kapeleka jeshi nje ya nchi bila ridhaa ya wananchi, acha ujinga wewe
Kwani mpaka wa Burundi umefungwa?Nimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku. Nilikuwa tu natoa hela kwenye ATM ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila Maelezo, Bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye ATM kufika elfu 6.na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa hadi uende kwa wakala
Binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni Serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake. Nimeumia sana kukatwa elfu sita, haya ndio matumizi yangu ya siku. Mwaka 2025 mimi na Familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwani
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Wanasema hamia Burundi....!!!kwani wana ccm wenyewe wanasemaje? mitato tena.
Ni maelekezo ya Bibi tozoNimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku. Nilikuwa tu natoa hela kwenye ATM ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila Maelezo, Bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye ATM kufika elfu 6.na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa hadi uende kwa wakala
Binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni Serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake. Nimeumia sana kukatwa elfu sita, haya ndio matumizi yangu ya siku. Mwaka 2025 mimi na Familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwani
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Hivi mnachokisema ni kweli wanakata elfu 3?? Aisee noma dih!Nme shtuka jana kuangalia salio crdb wanakata elfu 3 iwe ATM au kwa wakala
ukijibiwa unijulisheKwa hiyo katiba mpya ndo itapunguza tozo?