Benki ya Posta ni wezi sana

Benki ya Posta ni wezi sana

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,806
Reaction score
2,349
Wanajamvi habari za muda huu?

Jana nilikuwa nachukua bank statement, huwezi amini ukurasa moja niliambiwa 2000. Nilichoka, huu ni uwizi mkubwa jamani kuprint page moja elfu mbili nimesikitika sana.

Je, wenzangu mnaonaje?

Mwenzenu nilikuwa na page 3 imetoka elfu sita nimehuzunika sana.
 
inakuwaje jambo hili ni huduma ninayotakiwa kupewa bure kakin hata kama ni kukatwa sio hela kubwa kiasi hicho huo ni uwiz wa mchana nawaomba waache hiyo tabia tutapiga kampeni mbaya dhidi yenu kabisa popote nafas itakapopatikana
 
inakuwaje jambo hili ni huduma ninayotakiwa kupewa bure kakin hata kama ni kukatwa sio hela kubwa kiasi hicho huo ni uwiz wa mchana nawaomba waache hiyo tabia tutapiga kampeni mbaya dhidi yenu kabisa popote nafas itakapopatikana

bora hao crdb elfu 11
 
Duh poleni ila napenda CRDB unatumiwa kwenye email kui print juu yako
 
jaman wananchi wengi mnapenda kulalamika pasipokua na ufahamu.kikawaida unatakiwa kuchukua bank statement yako kila mwisho wa mwezi ambayo ni bure kabisa lakini ukichukua kati kat ya mwezi lazima uchajiwe na unichukua zaidi ya mwezi mmoja lazima uchajiwe.muwe mmnauliza haya mambo wakati wa kufungua akaunti ili kuepuka usumbufu na malalamiko.
 
Back
Top Bottom