Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"

sasa kama mwenda zake kaacha deni la taifa ni trilion 56 na sasa hivi dwni limefikia trilio 70 maana yake si lime shoot kwa trilion 14?

sasa hapo aliyeliyelipandisha mpaka kufikia trilion 70 ni nani kama sio yeye?

nina vidwo ya halima mdee hapa yaani hilo no deni la nje, ukiswma ujumlishe na madeni ya ndani jumla tanzania inadaiwa trilion 85

sasa ebu fikiria, 85 trilion hamuon kama ni pesa mingi sana?

natamani sana niwawekee video ya halima mdee hapa ila sasa video ina upload taratibu sana nilikuwa naijaribu kuituma tena hapa lakin ipo slow

ila deni lote kwa ujumla ndani na nke ni trilion 85
Unaelewa Lina shoot kwa sababu zipi? Na kwa nini li shoot within very short period of time?
 
hakuna anayepotosha ila huo ndio uhalisia, mama anakopa sana maranyingi tukiongea tunaonekana kama mazuzu kwasababu tu shule zetu ndogo

mwenda zake ni rais wa tano tanzania., kaanza nyerere , mwinyi, mkapa, kikwete hatimaye mwenda zake

marais wote hao walikuwa wanakopa na mpaka mwenda zake anakufa deni la taifa lilikuwa trilion 56 yaan hilo ni deni la kuanzia nyerere mpaka mwenda zake

kwa tafsiri rahis hilo lilikuwa ni deni la karibu miaka 50 iliyopita

kwaiyo kulikuwa na wastan kama wa trilion 11+ kwa kila awamu ambayo ilikuwa ikiongoza kwa miaka 10

sasa mama kaingia hata mwaka bado deni line shoot mpaka trilion 70 yaan tafsir yake ni kwamba , mama ndani ya mwaka mmoja kakopa zaid ya trilion 14

sasa tutumie akili ya kawaida tu na tuweke unazi pembeni, wenzie ndani ya miaka 10 wamekopa trilion 11

yeye ndani ya miezi 11 kakopa trilion zaid ya 14 sasa hatuoni jamani ni jinsi gani uyu mama anakopa?

maana yake akikaa miaka 10 atakopa trilion 140 sasa , halafu bado tunadanganyana eti mwenda zake ndio kasababisha haya?

nilitaka niwawekee na video kabisa ya ushahid muone mwenda zake kaacha deni la tsh ngapi ila kwa bahati mbaya net haiko poa hivyo video inachelewa ku upload

we mtu hata mwaka hajafika kakopa zaid ya trilion 14 sasa akikaa miaka 10 si ndio tutafilisiwa? lakin et bado watu wanamuunga mkono tu , aisee watanzania sijui nan aliyeturoga
Wewe kwa akili zako mbovu unaona ni kweli kakopa til.14? Unaweza ainisha hiyo mikopo?

Serikali haikopi nje ya ukomo wa bajeti,nimeshaweka hapo juu attachment ya mikopo iliyoidhinishwa ila kichwa umejaza uji ndio maana huelewi.

Nakuuliza tena unadhani kwa nini deni limeongezeka kwa mda haraka ndani ya mda mfupi?
 
Unashindwa kuelewa tofauti ya kupokea misaada na kutegemea misaada. Arguments zako nyingi ni za kuhisi na kuambiwa tu, hazina ukweli wowote, na mostly unakuza sanaevents za baada ya vita na kuzifanya kama vile ndiyo ilikuwa maisha ya Tanzania miaka yote hiyo.

Nyerere hakung'atuka kwa sababu ya kutakiwa kufanya SAP. In fact SAP ya kwanza iliwakilishwa bungeni na Profesa Malima mwaka 1981 akiwa waziri wa Uchumi huku Jamal akiwa Waziri wa fedha. Tanzania ilikuwa imeharibikia sana kiuchumi mara baada ya vita ndipo muda ambao serikali ilipotafuta mkopo wa IMF na World Bank. Hiyo siyo kuwa serikali ilikuwa inategema mikopo na misaada, bali ilikuwa ni swala la dharura kufuatia vita.

Mwaka 1975 wakati Jumbe anampendekeaza kuwa Mgombewa urais, Nyerere alisema kuwa hicho kingekuwa kipindi chke cha mwihso. Ila akataka waunganishe TANU na ASP kusudi kiwe chama kimoja( iltmbulika kuwa alitaka yeye abaki mwenyekiti wa chama hicho). TANU iliungana na ASP mwaka 1977, na hivyo Nyerere alikuwa aachie madaraka mwaka 1980. Kilichomfanya aendelee miaka mingine mitano ni kuwa uchaguzi wa 1980 ulikuwa ni mara baada ya vita na nchi ilikuwa haijawa satble khuku bado kuna majeshi yetu Uganda. Kwa akili yako unadhani kama angeamua aendelee kuwa madarakani ni nani angemzuia?

Kuhusu muungano, naona hata huujui chimbuko lake bali unababaisha tu
Unachomaanisha ni kwamba Tanzania ilikua inajiweza kwa bajeti yake 100% toka 9/12/1961 mpaka pale tulipovamiwa na amini!!??..huoni Kama unadanganya,unamaanisha mwalimu hakukopa,muungano unetokana na shinikizo la us na uk,wakihofia abdulrahmaan babu(mkomyunist msomi) kuigeuza zenji kuwa Cuba ya Africa,babu akiwa karibu na uchina na akipata msaada,kung'atuka si kutoka kwa hiyari...inatokana na shinikizo la Sina Fulani,baada ya ujamaa kufeli na kuwa tumetoka vitani,hapakua na sehemu ya kupata mikopo/misaada,maana Soviet mwenyewe akihitaji pesa imf,ndiyo tukapewa sharti la sap,kuona hakuna namba mzee aka-oversee sap 1 Kama unavodai,Kisha akakaa pembeni akiwa bado na hamu ya madaraka,ndomana akiutaka uenyekiti wa chama tawala,akampindua kumbe,akamsema Sana mwinyi utawala wake,hii yote ilionesha bdo kuyapenda madaraka Ila ndo hivi hakutaka kugeuka jiwe la chumvi
 
Wewe kwa akili zako mbovu unaona ni kweli kakopa til.14? Unaweza ainisha hiyo mikopo?

Serikali haikopi nje ya ukomo wa bajeti,nimeshaweka hapo juu attachment ya mikopo iliyoidhinishwa ila kichwa umejaza uji ndio maana huelewi.

Nakuuliza tena unadhani kwa nini deni limeongezeka kwa mda haraka ndani ya mda mfupi?
hapa hatubishani bali tunaelekezana....! a tje sunk inatakiwa na wewe uwe tayar pindi na sisi yutakapoanza kutumia maneno ya kejeli

kikubwa usi mind tu maana maranyingi we huwa unapenda sana kuongea junk language! swa mimi kichwa changu kimejaa uji & akili zangu mbovu upo sahihi sana

sema tu nasisitiza tena na wewe usijiskie vibaya pindi na mimi nitakapotumia ligha mbofu mbofu
 

Attachments

  • HALIMA_MDEE_AIBUKA_NA_HOJA_YA_MIKOPO_YA_NJE__TUIPUNGUZIE_SERIKALI_MZIGO_(720p).mp4
    33 MB
  • HALIMA_MDEE_AIBUKA_NA_HOJA_YA_MIKOPO_YA_NJE__TUIPUNGUZIE_SERIKALI_MZIGO_(720p).mp4
    33 MB
hiyo attachment mi sijaona
Tafuta ipo humu 👇

Screenshot_20220302-165539.png


Screenshot_20220302-165641.png
 
Unachomaanisha ni kwamba Tanzania ilikua inajiweza kwa bajeti yake 100% toka 9/12/1961 mpaka pale tulipovamiwa na amini!!??..huoni Kama unadanganya,unamaanisha mwalimu hakukopa,muungano unetokana na shinikizo la us na uk,wakihofia abdulrahmaan babu(mkomyunist msomi) kuigeuza zenji kuwa Cuba ya Africa,babu akiwa karibu na uchina na akipata msaada,kung'atuka si kutoka kwa hiyari...inatokana na shinikizo la Sina Fulani,baada ya ujamaa kufeli na kuwa tumetoka vitani,hapakua na sehemu ya kupata mikopo/misaada,maana Soviet mwenyewe akihitaji pesa imf,ndiyo tukapewa sharti la sap,kuona hakuna namba mzee aka-oversee sap 1 Kama unavodai,Kisha akakaa pembeni akiwa bado na hamu ya madaraka,ndomana akiutaka uenyekiti wa chama tawala,akampindua kumbe,akamsema Sana mwinyi utawala wake,hii yote ilionesha bdo kuyapenda madaraka Ila ndo hivi hakutaka kugeuka jiwe la chumvi
Haijawahi tokea,afu Kukopa sio kwamba nchi ni maskini.
 
Nyerere alikuwa anasistiza sana dhana ya kujitegemea akisema "...kujitawala ni kujitegemea.

Kujitawala kwa kweli hakuwezekani iwapo taifa moja linategemea misaada na mikopo kutoka taifa jingine kwa maendeleo yake....." Nakumbuka sana maneno hayo.

Ila kupitia sera zake, maisha yalikuwa magumu hadi tulipopata misaada na mikopo ya IMFna World bank wakati wa mwinyi. Kuanzia hapo watanzania hatuamini dhana ya kujitegemea tena, tumedumaza akili zetu kuwa wa kutegemea misaada na mikopo tu.

Kuna wakati wanasiasa hufikia kusema tusifanye mambo fulani kwa vile yatatukosesha misaada. Nakumbuka tuliwahi kuwa na rais akisema kuwa kila anaposafiri hurudi na kibaba cha misaada na mikopo.

Bila kukwamua mawazo yetu kuelekeza kujitegemea tukijua kuwa tunatakiwa tutoe jasho letu kupata maendeleo, tutabaki wa kuwa omba omba tu.

Tabia ya watanzania ya kutaka pesa za mkatomkato tu kwa kupitia misheni town inapozidi kubarikiwa na serikali, ujue nchi inakuwa inaingia kwenye korongo.
Kazi na bata haifai, nchi zote zikizoendelea walijifunga mkanda kuwatengenezea wajukuu zao na vitukuu vyao !! Sisi tumetanguliza matumbo yetu mbele ili tuwaachie madeni wajukuu na vitukuu waje walipe wao !! " KAZI NA BATA " JAZA UJAZWE !! Tumesahau kuwa KILIMO ndio UTI was mgongo wa nchi yetu !! ARDHI nzuri ipo Watu wapo maziwa makuu yapo, mito IPO mvua pia zipo !! Je tunakwama wapi ??!! Tunasoma sana lakini ajira hakuna !! ARDHI Inatuangalia inatushangaa !! Waswahili wanasemaga ukianguka angalia ulijikwaa wapi ??!!
 
Kwa mujibu wa report ya Benki ya dunia uhimilivu wa Tanzania kwa madeni umepungua ghafla na wakati wowote nchi itakuwa highly indebted country in the world.imehama kutoka stage low hadi moderate.Ni muhimu sasa kuangalia mikopo itakayogusa maisha ya wananchi moja kwa moja
Screenshot_20220304-074948_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom